Mzee nina hasira si kidogo.. Muulize mtu yeyote wa halmashauri ya kibaha atakwambia yani watu wamemchoka, sijui kama ameolewa sijafuatilia maisha yake binafsi
Katika halmashauri ya Kibaha kuna hili jipu linaitwa Tatu Kikwete, huyu ni mkurugenzi wa halmashauri ya kibaha vijijini.
Jipu hili limekuwa likiwanyanyasa sana watumishi wa wilaya hiyo kisa ana undugu na yule jamaa (Jakaya Kikwete) na hata hicho cheo alikipata kwa kubebwa tu maana elimu yake...
Yani live nimetoka kuangalia hapa Emmanuel TV mTanzania ameenda kuombewa kwa prophet, anasema yeye ni shoga..... Aisee dunia imekwisha yani jamaa ni mtanashati, handsome lakini ndio hivyo tena.... Mungu amsaidie aache mchezo huo ila na sisi tuwe makini na watoto wetu hasa kwenye shule za...
Wewe bwana acha ujinga wako, huwezi ukafananisha maendeleo ya hizo nchi na bongo, hao wana kila kitu wanachotaka hivyo kazi ni mwanafunzi tu kujisomea wkt sisi no vitabu,no teachers,no everything... Bila kusahau kuwa wabongo tunatunga mitihani kukomoana wakati wao mitihani ni fair maana wanatoa...
Docta yeye anasema ni michubuko tu eti inasababishwa na joto sasa sijui hilo joto limeniandama mimi tu.... Yani katika suala la usafi ninajitahidi sana nahakikishaga nimejifuta na kuwa mkavu kabisa ndio nivae boxer ila bado
Aiseee!!! Yamenifika hapa.
Nimekuwa nikisumbuliwa na genital fungus for almost 5 years now, yani kila dawa ninayopaka inanipa relief tu na sio kunitibu, nimewahi kunywa fluconazole ya mwezi mzima lakini wapi, nikaja kutumia griseofulvin ya mwezi pia lakini wapi.
Nilijaribu kwenda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.