Recent content by phano09

  1. P

    Mikutano ya hadhara imeruhusiwa na Serikali ya Awamu ya Sita ili kudhihaki Magufuli?

    Kama tunajamii toxic namna hii tunasafari ndefu sana kama taifa yaani haki ya kikatiba ya vyama vya siasa kufanya siasa huru mtu saivi anawaza habari za kuchafuana Yaani kama mtu ni mchafu ni mchafu tuu kama ni msafi ni msafi tuu watu wanajivika upofu na kuchagua nani wa kumuhukumu kwa...
  2. P

    Mradi wa Shule

    Lazima kiwanja kiwe maeneo ya makazi ya watu Matundu ya choo yasipungue 12 wasichana 6 na wavulana 6 Madarasa uenye viwango vya nekta Walimu waliosajiliwa Vifaa vyote muhimu vya shule Akaunti ya shule isiyopungua kiasi cha shilingi 64m Ofisi za walimu
  3. P

    Naomba ushauri binamu yangu kamaliza kidato cha sita hajui achukue course gani?

    Asome education au law ila sina hakika kama law atapokelewa kwa hilo tokeo lake
  4. P

    Kuhusu application UDOM

    Inatokeag sema wapigie tena maana hata mimi dogo langu hajapata control no toka ameanza hizo process kwa udsm na udom wenyew
  5. P

    Inawezekana kubadili chuo kwenda Advance?

    Aende chuo au aombe kubadilishwa chuo na tamisemi wenyewe na wanapataga punguzo la ada hata malazi sio kama walio omba wenyewe Na unakuta analilia kwenda 5 huku kwenye ts9 form aliweka advance last priority Na advance sio kwamba ni ishu sana mimi nilisoma certificate ya accountant niko kazini...
  6. P

    Kwanini Rais Biden kwa mara ya pili hakutani na Rais Samia?

    Yamkini sina majibu sahihi ila mostly ya marais wannchi za ulimwengu watat wanakutan na makamu kamala Harris Hata Wa Zambia ilikuwa hivyo
  7. P

    Jini/shetani wa pesa na utajiri mwenye asili ya nyoka: Almliyah Alnafedha

    Namuhitaji huyo kiumbe kam hutojali naomb mawasilian yako nje ya hapa Rakims
  8. P

    Story behind your date of birth

    9-12 ndo tareh yangu na mwez ni huo 12 hebu nichekie @mzizimkavu
  9. P

    Nawashukuru kwa mawazo yenu, kwa sasa nimehamia kwangu

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mm enyew niko bado hapa
  10. P

    Naomba ufafanuzi kuhusu kibali cha kujenga

    Jenga na kibali itasaidia maana wakikuoa kibali wameshathibitisha eneo kwamba ni sahihi kwa makazi ya watu na hata ikitokea wanatak kuendeleza miji unalipwa fidia maana serekali ndo ilikupa kibali tofaut nakujeng holela
  11. P

    Ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu Dar es Salaam unahitaji bajeti ya milioni ngapi?

    Million 55 kama tayari unakiwanja mpka kuhamia ila ingependeza ukaeka ramani kabisa ili wataalamu wakusaidie
Back
Top Bottom