Tanzania bhana kwani mtu kupata maarifa ni dhambi ? Kama anauwezo angeachwa amalize akafanye yake alaf maisha haya sio lazima kuajiriwa kama wengi wanavyofurahia kwa jamaa kusimamishwa maana wao wanajiona wanajua na ukiwauliza na huo uhandis wao kwa Tanzania bora hata Veta wanamaana kubwa
Uyo hakupendi alikua anakutafutia sababu ya kukurudishia mahari yako kesho pata mtu mwingine, ingawa pia wanao sali sana wengi huwa ni wanafiki wanatumia dini kama kivuli , achana naye songa mbele maisha lazima yaeendeleee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.