Wakuu,
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya korodani (pumbu) hasa nyakati za kukojoa na maumivu haya hutokea tu endapo nimekunywa maji mengi sana..
May be lita 2 au lita 2 na nusu mida ya asubuhi baada ya kuamka..
Naombeni kufahamishwa hii ni kwa sababu ya nini? Na suluhusho lake je?
jamani sasa sisi ambao ndo tunapewa ajira soon mnatushaurije....? tuachane na cwt......? nahichi kipya je kipo halali kisheria...? tupeni mwangaza tusije tukakosea mapema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.