Recent content by Petson Mshindo

  1. P

    Nasumbuliwa na mauumivu ya korodani wakati wa kukojoa

    Wakuu, Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya korodani (pumbu) hasa nyakati za kukojoa na maumivu haya hutokea tu endapo nimekunywa maji mengi sana.. May be lita 2 au lita 2 na nusu mida ya asubuhi baada ya kuamka.. Naombeni kufahamishwa hii ni kwa sababu ya nini? Na suluhusho lake je?
  2. P

    Kujitoa CWT na kujiunga CHAKAMWATA

    ok mkuu thanks nimekupata
  3. P

    Kujitoa CWT na kujiunga CHAKAMWATA

    sijakusoma mkuu so tujisajili uku uku cwt au.?
  4. P

    Kujitoa CWT na kujiunga CHAKAMWATA

    jamani sasa sisi ambao ndo tunapewa ajira soon mnatushaurije....? tuachane na cwt......? nahichi kipya je kipo halali kisheria...? tupeni mwangaza tusije tukakosea mapema...
  5. P

    Hivi hiki ni kitenzi kishirikishi?

    kitenzi kisaidizi
  6. P

    Kuanguka kwa CCM: Kutimilika kwa Unabii...

    Hongera bro nimeielewa sana bora itokee ovo
Back
Top Bottom