ww ubongo wk n fukara sana,sina hakika km nchi hii itatoka hapa tulipo ikiwa nyinyi ndo wasomi na wazalishaji wa fikra za kimapinduz ktk Taifa hili.
Ndo ss natambua kwa nini viwanda vilikufa vyote.km huoni watu weusi ktk mataifa ya magharibi na hutaki kujiuliza walifika vp kule,ila unajua...
Acheni chuki nyie mnaoshindwa kufikir,leo hii hata Mkapa nae anaonekana dhahabu!? Aloyafanya ndo yanaangamiza taifa,umeme wa IPTL,kauza migodi ya dhahabu na kufukia watu hai Bulanhulu,Tanzanite na AFGEM mmesahau? Leo mnajadili kuwa alikuwa na handset moja tena had akupigie.hilo lilisaidia nini...
kugushi nyaraka ni moja ya mambo CHADEMA wanayoyapigania.tujiulize kati ya sugu na hawa clauds nani wa kulaumiwa?tunamuonea huruma mwiz kwa kuwa anatoka damu,wakati hatutafakari madhara,adhaa na hasara na pengine hatar ya kuperuhiwa au kuuawa kwa aloibiwa.damu kwa mwizi isitumike kumuenz na...
kumbuka Kubenea ashawah kutaka kuuwawa au nawe ulishiriki? Kwan tetes zilizopo ni kuwa jamaa alihusika ktj issue nzima.usijaribu kupaka rangi upepo,aliyeanza kumdili ni Mwalimu Nyerere,mwanahalisi ni mwendelezo wa kazi ya Nyerere.usitumike kwa manufaa ya ndoto za mtu mbinafsi na asokuwa na...
Siyo kila maandamano na migomo huwa na lengo jema, mengine ni mabeberu huandaa watu kwa manufaa yao. Tafakar Libya waliandamana kwa sbb kipi kilipanda bei? Walikosa fedha za elimu? Walinyimwa matibabu?
Miundombinu ilikuwa duni? Lakini ukweli wa majawabu ya maswali haya na mengine mengi n...
hv ninyi wahafidhina mbona mnasikitisha sana!? Hawa Mbowe na Padri Slaa kwan wao n miungu? Kila atakayejitokeza kuhoji utendaji wao anatukanwa kias hiki.kumbe ndo sbb Taifa haliwez kuendelea km watu sampuli yenu mpo weng kiasi hiki.kumbuken kukosa kuwa na kupingana kwa hoja kumelifikisha Taifa...
kwako doctor ni Padri tu.ingawa hatujui ni udaktar wa nini.achen chuki na ufupi wenu wa fikra.mbona mnataka kumtangaza Nyerere kuwa mtakatifu na watu hawahoji? Hiki n cheo cha heshima acheni chuki zenu.
ckujua kuwa kamati ya Bunge iloundwa kuchunguza ufisadi wa Richmond ilikuwa ya masheikh,ndo sbb wakamwajibisha Lowasa. mwakembe,Sita,Sdelelii,Olesendeka Anna Kilango ni maimamu.Bila utafiti huna haki ya kuongea.
kwel ni kosa lisosameheka km kuchukua kodi ya wanzania wote hadi Zanzibar na kuyapa makanisa kupitia MoS.Mie naona tugawane NCHI ktk kanda,Pwan waislam na Bara wakristo.naona mnachuki kubwa na waislam,mlijenga mfumo mkawanyima elimu bara,bado mnataka nn kwao? Mkapa kaua wanzanzibar...
Tunahitaj majibu,vp raia wa USA awe wazir wa Tanzania?juz tu Obama ilimbidi kuthibitisha uraia wake hadharan,baada ya kuhojiwa km n raia wa Marekan au ni raia wa kenya.inamaana hata wao wenye hiyo dual ctizen hawakubal kiongoz kuwa na uraia POPO.vp cye tusihoji umaluuni huu!? Et twaitwa wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.