Recent content by peterprosper

  1. peterprosper

    Hongera Idris Sultan

    Watanzania wengi atuna kazi za kufanya mtu unashinda kwenye mitandao kuhamasisha maandamano wewe ambae unahamasisha maandamano uendi kuandamana
  2. peterprosper

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Kama mange ni mratibu wa maandamo ya chadema basi mwisho wa chadema mwaka 2020 chama kinaombea nchi mabaya
  3. peterprosper

    Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini abaini gari lake kufunguliwa nati za tairi mbili za nyuma

    Mchezo wa kuigiza umeanza wabunge wengine kazi umbea na uchonganishi.
  4. peterprosper

    Pendekezo: Zitto aongezwe kwenye kamati ya Bunge ya PAC au apewe mwaliko maalumu kushiriki vikao husika

    Mnajisumbua tu akuna chochote uu ni upepo unapita tu yameshapita mangapi wala akuna wakuitoa serikali madarakani fanyeni kazi zenu tu msipoteze muda wenu watanzania
  5. peterprosper

    WanaCCM tusikae kimya, chama kinapoteza sura yake

    Acha kutudanganya usituletee umbea
  6. peterprosper

    Halima Mdee: Rais Magufuli, Serikali yako imechafuka, chutama uweze kujisitiri

    Sio ujinga wenu mnaoongeaga lazima tu badilishe mada akili zenu mmeshikiliwa na mange
  7. peterprosper

    Rais Magufuli: TLS ni mali ya umma, isigeuzwe mali binafsi

    Lakini ujumbe si umeuelewa .Mange anaendelea kuwashilia akili zenu wachochezi
  8. peterprosper

    Rais Magufuli: TLS ni mali ya umma, isigeuzwe mali binafsi

    Tls inaongozwa na wauni wauni
  9. peterprosper

    Alichofanyiwa CAG hakistahili kurudiwa tena

    Neno kuzengua nalitafuta kwenye kamusi
  10. peterprosper

    Alichofanyiwa CAG hakistahili kurudiwa tena

    Mistari yote iyo amna faida yoyote unayopata
Back
Top Bottom