Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,931
Haya ndio majibu ya 1.5 trillion zimekwenda wapi?Muulize Zitto kwanza kilitokea nini NSSF na miradi yake hasa kule kigamboni yeye akiwa mwenyekiti wa PAC? Sakata la uzaji wa viwanja vya NSSF kule kigamboni nini kilitokea ?-hahahahahaha
Tunajua njaa ina muuma alizoea kuchota pesa hahahahaha
Mbona mnaweweseka sana?