acha arushe kwani akirusha inang'oka hapo kwako ww mpe live mwambie humpi ata mia na akitaka arushe mwisho wa cku atajiona mjinga mwenyewe ataona kumbe hujali wala hatarusha
hata km anatengeneza sio zake, yupo kazini km watu wengine na analipwa kutokana na kutengeneza pesahizo, na pesa huwa zinaingizwa kwenye mzunguko kwa idadi fulani
right click folder then kwa chini utaona kibox kimeandikwa hide put √ baada ya hapo funga folder yako then rudi kwenye ku start computer type folder option alafu click kwa juu palipoapia neno folder option kitafunguka ki folder kwa juu utaona view click kwenye view then ukishuka utaona...
kwa wale ambao walishatumia bidhaa hii kwenye magari yao, pikipiki, magenerator, ninao mzigo na ninauza kwa promotion( punguzo kubwa)
anayehitaji nicheki kupitia 0653732909
poleni na majukumu wadau. sasa nimeamua kuuliza humu hii samsung yangu mtu anaweza kukutumia sms ikafika vizuri bila shida tatizo message hiyo hiyo inaweza kuendelea kuingia kwenye simu ata siku tatu mpaka nne mfululizo kwa muda tofauti tofauti. SO KWA ANAEJUA SULUHISHO ANISAIDIE, ASANTEE.
Wakuu habari za muda nimekua na tatizo kama hili la meseji ambayo ilishatumwa hata siku mbili zilizopita inakua inaendelea kuingia hata siku tatu mfululizo mbele na si kwa simu hii hata tecno m3 niliyokua nayo kabla ya hii ilikua ni hv hv MSÀADA WADAU sababu inaboa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.