PETEROPTIMIST
Member
- Nov 16, 2013
- 80
- 17
Wakuu habari za muda nimekua na tatizo kama hili la meseji ambayo ilishatumwa hata siku mbili zilizopita inakua inaendelea kuingia hata siku tatu mfululizo mbele na si kwa simu hii hata tecno m3 niliyokua nayo kabla ya hii ilikua ni hv hv MSÀADA WADAU sababu inaboa