chama cha mafisadi yaani ccm hakipendi kitoke madarakani kwasababu ya uroho wa madaraka,maouvu,ufisadi, wizi na rushwa zilizokithiri amazo wanajua cku wakitoka madarakani wegi wao wataishia lupango. hovyo kwa metea haki za wanyonge kama cku wanatumia njia ya mumweka rumande kumtishia n.k ili...
nape kachoka.hana jipya kabakia kubwabwaja tu. nilimkubali sana kipindi alipokuwa anafuatilia swala la jengo la umoja wa vijana sasa sijui ameshachukua 10% au la maana simsikii tena.
swala la madawa ya lulevya si swala dogo hili ni swala zito sana, hata mtandao wake ni mkubwa saana. jiulize ni kwanini yalikuwwa yanapita airport zote?iwe kia au jkia?pale kuna watu wa usalama,mapolisi na wafanyakazi lakini bado mzigo unapita na utaendelea kupita.kwanini hujiulizi bado watu...
fdrl ni moja kati ya makundi yaliyotangazwa kuwa ni magaidi.Kagame kukataa kukaa meza moja na mgaidi ni sahihi kabisa.napenda kuuliza je ni kwanini marei haikukaa meza ya mazungumzo na osama?fdrl wanataka warudi rwanda wawauwe watusi wote, wakae wenyewe.je hiyo ni haki? na kama ni hivyo...
Jumanne, nilisikiliza kikao cha Bunge kupitia TB1 jioni na nilisikitika kusikia (mbunge mmojawapo wa CCM kusema) "anaona fahari kwamba Tanzania bado inakopesheka". Alidai hakuna nchi duniani inayojiendesha yenyewe na hivyo kwa vile Tanzania bado inakopesheka ina maana imekidhi vigezo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.