ilikuwa ni madhabahu(mazabau) lengo ilikuwa kufungua mpk mbingu ya saba kutokea dunian.
mwana alifanikiwa kuzifungua zote,
hakuweza kwenda huko juu kwan ghafla tuu alianza kupambana na nguvu ambayo hakujua anapambana na nani.
kikosi kazi cha NIMROD kilizidiwa nguvu,wakasalenda hakuna...
NIMRODI alifanikiwa kuifungua mpk dunia ya saba huko!!!
lkn kwa uwezo na maarifa ya SHETAN.
madhabahu yake ilitoa kafara za kila aina ili kuweza kuzifungua mbingu,kwa ufupi alifanikiwa,ila nguvu yake ilikuwa ndogo kuliko hiyo aliyokuwa akishindana nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.