Habari wana jamvi.
Ninaomba kuuliza kwa mwenye taarifa ya nafasi za kazi zilizotangazwa na TPB Bank za Bank officers 2 (Pemba), deadline yake ilikuwa tarehe 16/07/2018. Je wameita watu kwa ajili ya usahili?
Habari.
Mimi huwa nafanya jogging ambapo huwa natumia saa moja
au mawili. Huwa ninaumwa na kichwa baada ya mazoezi (siyo mara tu nimalizapo), nikiwa nimepumzika.
Tatizo ni nini, na je itaniletea madhara gani?
Naomba kuuliza.
Helo members!
After applying through Ajira portal, getting to know that my application has been successful. How do I receive feedback, is it either through my email or.....?
Habari wadau.
Mwenye information kama Tanroads Tanga. Wameita watu kuanza kazi, maana kimya king I tuko interview zifanyike November 2016?
Au mwenye information kwanini recruitment process inatake long time?
Shukrani.
Mkuu, unachokisema ni kweli au, maana watu tulikuwa tunasubiri huku tukipita kwenye website yao. Km kweli, ilibidi wafanye public km walivyotangaza, any way ndiyo nchi yetu
From my experience, to me it happened twice but from all you mentioned,i lost also two children, first one due to premature & second had respiration failure. During the first time I became very frustrated and become drunkard, but thank to GOD things turned well but from nowhere the disaster...
Nafikiri kwa watu wa Imani adui Mkubwa wa mwanadamu ni SHETANI. Kwani kifo ni mauti ya mwili, lakini km dini zinavyotufundisha roho haifi, nadhani utakuwa unatambua nini kitatokea siku ya hukumu, km we ni muumini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.