Baada ya wiki za applications za kazi za Tra Leo wamefunga web yao nakama ulikua na slight mistake kwenye application then hakuna excuses utakuta maneno yalojiandika received apo mwanzo yaebadilika nakuandikwa kwa maelezo zaidi tembelea ajira portal ni vizuri tuingie utumishi web zetu then tuview kama bado ziko received thanx wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app