Recent content by peter tumaini

  1. P

    Mmiliki wa Lushanga Bus Services Limited afariki Dunia

    Du! nakumbuka Lushanga Bus toka Kakola kwenda Mwanza enzi za Majeshi mtoto wa huyu mzee ilikuwa mwendo mdundo. Pumzika kwa Amani.
  2. P

    Happy Oscars night

    very interesting!
  3. P

    hawa ndiyo wabunge wa CCM

    Raha zaidi ya kuliko kazi
  4. P

    Kunyoa sehemu za siri.

    wrong thread,....
  5. P

    Msaada wa Vifaa vya kilimo vilivyoko kwenye Kundi la Msamaha wa Kodi(KILIMO KWANZA)

    mkuu, Naomba ufafanuzi hazina kodi ipi labda kati ya hizi; Import duty,custom duty na VAT?
  6. P

    Kuhusu Mashine ya Kuatamisha mayai(Incubators) Majibu ya TRA

    Mkuu Chasha, Uzoefu ni mwalimu mzuri just do it utajua gharama halisi na taratibu zote zinazotakiwa. Na from my advice fanya clearance mwenyewe tafuta agent wakupitishia docs zako kisha ingia kazini. Tusijenge uwoga kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe na pia tujenge spirit ya kuwaamini...
  7. P

    Kampuni inayo saidia Ku import mzigo/Bidhaa kwa niaba ya

    mkuu, Hiyo ndo kazi yetu.Karibu sana hapa Express chartering and shipping ltd.Tuko Samora Tower, posta mpya hapa dsm. Zaidi ni pm tubadilishane uzoefu.
  8. P

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    wapo hapa kariakoo wanatawanywa watu warudi majumbani kwao na wametanda kariakoo.
  9. P

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    wanajeshi wanatangaza raia wema kuondoka haraka kariakoo kuelekea makwao.hali haiko vizuri.
  10. P

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    kwa kariakoo gari tatu za jeshi zimeshusha vijana wa kazi na wametanda barabara ya msimbazi.
  11. P

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    kwa kariakoo gari tatu za jeshi zimeshusha vijana wa kazi na wametanda barabara ya msimbazi.
Back
Top Bottom