Recent content by peter palla

  1. peter palla

    Si kila mwanamke unayekutana naye ni wa kutembea naye

    Kweli kabisa hawa wengine ni wa KUKIMBIA NAO...maana ukitembea nao mtatumia mda mrefu kufika..[emoji28][emoji23]
  2. peter palla

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Chunguza vizuri humo chumbani huwa wanajirekodigi alafu anatumiwa mwamba,,kuna lijamaa limeomba video akiwa anakatika utupu,,hapo keshatuma picha kaambiwa na video atume..[emoji28][emoji23][emoji23]
  3. peter palla

    Huyu msichana kaninunia ghafla bila sababu

    Point ya msingi kwanza utuambie papuchi alikupa au alikuwa ana kupanga..kama ulishamla mteme hapo huna chako mkuu..kama hujamla na ameshakulia vyako mseti taratibu tuu akijaa kwenye18. Unakula mzgo alafu una mbwaga kibaharia unaaga kama unaenda dukani unamuacha guest afue mashuka huko..malipo...
  4. peter palla

    Kwenye camera mbili za Infinix, Itel, Tecno ni moja tu ndo inafunction

    Tatizo ulifanya utafiti wako huku upo wenge...infinix hot 7ina camera moja tu ya nyuma iyo ya chini ni torch inayotumika kama flashlight.... Rudia kutafiti
  5. peter palla

    Dar: Polisi wakamata machangudoa, wanunuzi na wamiliki wa madanguro

    Sasa wakiadimika c ndo bei nayo itapanda jamani!!!! cc wadau ndo tutaoteseka ...high demand high price....pray for machangu.. [emoji725][emoji725][emoji725]
  6. peter palla

    Angalizo Usije kuiamini smartphone yako

    Mkiambiwa iphone co cm mnabisha... Tecno hainaga huo ujinga cjui wa kuarchive ...ukifuta umefuta na ucpokuwa makini inafuta mpaka phone book... [emoji4][emoji16][emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. peter palla

    Vituko, kero na changamoto za club

    Mzuka umepandaa umepata na demu wa kubambia unamsikia dj anasema tunapiga nyimbo mbili za mwisho.... Unapoenda na demu wako alafu unakutana na mademu wakali kuzid wako alafu wanakata balaa..hapo unatamani umgawe demu wako kwa mkopo.... Umepiga pamba kali alafu kumbe ndani ukakutana na...
  8. peter palla

    Aina tano za wanaume

    Daaaah hapo namba 5,, kama najiona vile.yaan no mkavu kweli kweli na kuhusu ubahili hapo ndo in kweli kabisa tupo kimahesabu zaid Sent using Jamii Forums mobile app
  9. peter palla

    Eti huku JamiiForums mbona kila mtu ni mkuu! Mna maana gani?

    Karibu mkuu..vp huko utokapo jamhuri ya watu wa facebook wana mpya gani...bado unaweza kuchart bila kuwa na bundle??
  10. peter palla

    Bei za mafuta kwa Desemba 2018 zapanda. Bei hizo kuanza kutumika Desemba 05

    Mkuu unasahau kuwa we ni indirect user...mafuta yakipanda athar zake utakutana nazo kwenye bidhaa utakazonunua hadi tube ya baiskeli itapanda...
  11. peter palla

    Bashiru Ally: Kuna Wakuu wa mikoa wanne wameanza kampeni ya ubunge

    C wana sisiem wenzao kwan kuna kosa gani kutangaza nia ......iyo inaitwa mbuzi kala mbwa
  12. peter palla

    Ndio maana sura yako sio ngeni

    Hhahhahah Mambo ya mwalimu kashasha hayo... Triple B...ball balance.ball control ball fitnes....kitaalamu inaitwa freee eda...
  13. peter palla

    Chonde Chonde, mwanamke unapoenda kwa mwanaume usisahau hii kitu, ni muhimu sana

    Ahahhaha hapo unakuwa umeua sungusungu kwa nyundo haina haja ya kufafanua tena...point imeeleweka
  14. peter palla

    Faida za punyeto

    Nne...unajipimia size ya tundu utakalo.... Tano..kama unatatizo la kupata usingiz shtua kimoja tyuu..piriton zkasome ... Sita..ulipo ipo ni mda wako tuu .haipotezi mda pindi uanzapo mpaka umalizapo.. NB:kauli ya wapiga nyeto baada ya kumwaga wazungu hujisemesha kimoyomoyo "" LEO NDO YA MWISHO...
Back
Top Bottom