Recent content by peter mashaka

  1. P

    JamiiForums Tanzania SWALI LA KIZUSHI PART ii

    Nitaji ndiyo, maana ndiyo ukweli, inategemea atakufa nikiwa na umri gani.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kutendwa mara ya kwanza kunauma zaidi...

    machungu hayazoeleki, epuka kutendwa. tenda kabla ya kutendwa. soma alama za nyakati, ukiona dalili tenda haraka ili utangaze ushindi ingawa inauma.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi; Mohammed Enterprises Tanzania Limited

    wewe kama upo kwenye hiyo field apply tu, hiyo experience ni mikwara tu. mwisho wa siku ni lazima aajiri, hawezi kusema amekosa mtu. kuna wakati kazi zinatangazwa wanataka mtu mwenye masters, lakini wanaapply wenye bachelor tu na mmojawapo anapata.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Nani anayesimamia elimu nchini?

    Serikali ya kifisadi, kila aliye kwenye mfumo ni fisadi, hata tukikuweka wewe kuwa waziri wa elimu katika mfumo huu wa kifisadi you will be induced. Tunachotakiwa kufanya kwaza ni kubadilisha huu mfumo kwa kuingiza mwingine ndipo tutaona mabadiliko. Bado tuna nafasi 2015.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Network marketing

    Hiyo biashara unatakiwa uwe na mtaji, asikudangaye mtu. nilifanya kidogo forever nikaacha. wakati unaanza lazima uwe na mtaji wa kununu pruducts zao then ukauze. uwe na nauli ya kutosha kuzungukia wateja wako. Mafanikio yataanza kuonekana baada ya wewe kuuza products nyingi na kuwaingiza watu...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Civil Engineer

    natafuta kazi ya civil engineer part time in dar. nina uzoefu kwenye miradi ya maji, nyumba na barabara. tafadhali kama kuna mtu anajua kampuni inayotafuta engineer anijulishe
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mwanamke kumtongoza mwanaume na tamaduni za Kiafrika

    akikutongoza kama hujaoa, muombe Mungu inawezekana ndiyo anakuonyesha kilicho bora ila kama umeoa kimbia maana atakuwa ndiyo chanzo cha kuvunjika ndoa yako.Atakusumbua huyo? utajuta kumkubali.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Natafuta share holders.kampuni inanishinda

    sidhani partner wa kampuni kama anatafutwa namna hiyo. unaweza kumpata akakuchefua ukajuta kwanini ulimtafuta. cha msingi tembelea wenzio wenye biashara kama yako ukajifunza challenges wanazopata. kama ni partner unampata huko huko. otherwise uza hisa uajiri management ili kuwe na transparency...
  9. P

    JamiiForums Tanzania habari

    mambo vipi
Back
Top Bottom