Wana ccm mnajipa tabu kwel kwel yan mnamfananisha slaaa na lowasa kwel aisee kwan mmeishia darasa la pili au la nne .yan lowasa ni jesh la mtu mmoja hatar sana anamvuto wa kipekeee
Anataka kumuaminisha nan kuwa lowasa hapendwi?unataka kupotosha kwa faida .mpaka sasa tafit zilizofanywa inaonywsha mpka sasa lowasa naongoza kwa umaarufu mkubwa tanzania .lowasa ndoo mtu pekee mwenye nyota ya kipendwa na watu weng hata wale wa ccm wanampenda .huwez kumshika simba kama kuku sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.