Recent content by peter maronya

  1. P

    Walioondolewa CCM wanyoe/kusuka

    Mnajipendekeza haaaa tunamsimamo ww
  2. P

    Kwa kufikirika tu kwa sasa, ni huyu tu ndiye awezae kumtetemesha Magufuli nje ya CCM

    Wana ccm mnajipa tabu kwel kwel yan mnamfananisha slaaa na lowasa kwel aisee kwan mmeishia darasa la pili au la nne .yan lowasa ni jesh la mtu mmoja hatar sana anamvuto wa kipekeee
  3. P

    Kwa kufikirika tu kwa sasa, ni huyu tu ndiye awezae kumtetemesha Magufuli nje ya CCM

    Ww n waajabu hijawah kutokea slaaa nan bana anajipya gan
  4. P

    GODBLESS Lema kuhutubia hawezi hana pointi

    Leo ukiambia lema katukana utasema katukana tus gan kwamfano yan afrika kuna watu waajabu hakujawah tokea
  5. P

    GODBLESS Lema kuhutubia hawezi hana pointi

    Sasa ww umeandika point gan kama siyo umbea tuu acha hizo arusha yetu mbunge wetu lema acha kabisa tunaringa naee
  6. P

    Lema, katika hili umekosea sana!

    Kwan akiongea lem unaumia kwasababu gan kwann usikae kimya kama wananch wake wanampenda vilivyo ww unamchambua kwa lip
  7. P

    Yaliyojiri kutoka kwenye mkutano wa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema

    Et atapigwa chin haaa leo wakumtoa hayupo
  8. P

    CHADEMA hatuna mgombea Urais 2020, tukitaka kuvuka salama, ZITTO KABWE ndio mtaji wetu

    Anataka kumuaminisha nan kuwa lowasa hapendwi?unataka kupotosha kwa faida .mpaka sasa tafit zilizofanywa inaonywsha mpka sasa lowasa naongoza kwa umaarufu mkubwa tanzania .lowasa ndoo mtu pekee mwenye nyota ya kipendwa na watu weng hata wale wa ccm wanampenda .huwez kumshika simba kama kuku sasa...
  9. P

    Rais Magufuli: Hakuna chakula cha Serikali, fanyeni kazi huo ndio ukweli

    Mmemtaka wenyewe ya nn mnalalamika mwafaaa
  10. P

    Ukweli mchungu kwa UKAWA na upinzani, Lowassa hawezi kutuvusha

    Upuuuzi wenu huu mnatuletea humu
  11. P

    Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, apiga marufuku ulaji wa kitimoto

    Aisee tutashudia meng sana mwaka huuu kwan mtaalamu wa afya hayupo
  12. P

    Lukuvi: Nitamchukulia hatua mfanyabiashara aliyempa Makonda ardhi kwa ajili ya Viwanda

    Nilishangaa nikiposikia kina mtu katoa eneo la kujenga viwanda haiwezwka serikal ipewe eneo la kijenga wakat ardhi ni mali ya serikal
  13. P

    Chadema mnatengeneza siasa chonganishi kwa jamii

    Ndio vizur apate hak yake
Back
Top Bottom