Recent content by Peter Classic Twist

  1. P

    Tangazo la Airtel linawakejeli wenzao TIGO

    mmh kazi kwenu watanzania na Wananchi hasa kwa wananchi
  2. P

    Maisha bora kwa kila Mtanzania!

    maisha bora kwa kila mtanzania mbona ipo jamani wandugu! Lazima ujue kuna, Mtanzania na Mwananchi jiulize wewe upo kundi gani ukijua huwezi kupata shida wala kuuliza maana aliadi kwa Mtanzania na sio kwa Mwananchi! Sifa za Mtanzania; ana visa card,kusafiri nje ya nchi wakati wowote...
  3. P

    Hii inakukumbusha nini?

    nakumbuka kachori
  4. P

    ''BUNGE LA WANANCHI'':Baada ya 'ushindi' wa kodi ya Simcard, Sasa tutake punguzo la 'PAYE'!

    kweli kabisa ata itambulishwe kodi mpya za wanaomiliki vitu kama redio,simu(mobile phone) na TV ili iweze kusaidia na kuboresha maisha ya watanzania hasa katika suala la nishati,gesi na mafuta ili iongeze nguvu kwa wawekezaji kwa maendeleo ya watanzania
  5. P

    Kifo cha CCM kimetimia

    hahahaha hahahahaha hii ndo Tanzania nchi yenye..... for more infro wimbo wa Roma Mkatoliki- Tanzania, ndo special dedication kwao!
  6. P

    Hii bongo sehemu gani jamani?

    ukiuliza watakwambia mjini shule tena watakwambie Dar ndo Tanzania so huu ndo udereva wa Tanzania bhana!
  7. P

    Tunaowaficha kwenye pazia la Freemason ni wauza madawa ya kulevya

    kaka hilo ni la msingi na la kweli,maana watu siku izi kila mtu,mwenye mali ni freemasoon ata shetani anatucheka hawa wana wanasomething wanafanya behind the scene we have to be serious and careful with them!
  8. P

    Naomba ushauri

    msamehe ila so lazima urudiane naye anaweza kuwa msaidizi tu wakumlea mtoto ila mambo mengine mkapotezeana
  9. P

    Wasichana wasichana ugali tu

    mbwembwe tu,za maisha makipigika watajua kupika tu
  10. P

    Esta Bulaya mama unautesa moyo wangu

    sawa kabisa hakuna tofauti jamanii
Back
Top Bottom