Kaa nae chini muongee vizuri huenda ww unahisi hajawahi kukuhisi una chepuka kumbe mwenzio kuna wambea au wazushi wanao waonea wivu hivyo anavyopendwa hivyo wanazidi kumtia maneno ndio maana nyumba inawaka moto.sio rahisi haya mambo kuanza tuu bila sababu
Hiyo kozi ajira yake ni ngumu saana kwa sasa serikali inaajiri registered nurse (RN)na enrolled nurse(EN)kwa nini usiende kusoma hizo kozi badala ya hiyo medical attendant?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.