Recent content by periodantal

  1. P

    Magufuli, hotuba hizi za aliselema hazijengi chochote!

    Mtanyooka tuuu subirini October
  2. P

    Namna ya kuandika thread

    Hee hebu nisubiri
  3. P

    Yamenikuta

    Sijaelewa ...ww nae yanekukuta au ndio ..
  4. P

    Yamenikuta

    Haa jamani kumbe ndio ilivyokuwa....pole mkuu
  5. P

    Nampa kila anachostahili mke wangu lakini sina amani na ndoa yangu

    Kaa nae chini muongee vizuri huenda ww unahisi hajawahi kukuhisi una chepuka kumbe mwenzio kuna wambea au wazushi wanao waonea wivu hivyo anavyopendwa hivyo wanazidi kumtia maneno ndio maana nyumba inawaka moto.sio rahisi haya mambo kuanza tuu bila sababu
  6. P

    Nampa kila anachostahili mke wangu lakini sina amani na ndoa yangu

    Haaahaaa jamani nyie humu ndani kuna vitukooo.hako kamoja sio mwezi mzima ni kila siku asubuhi:D:D
  7. P

    Uhamisho kwa watumishi wa Serikali za Mitaa, July 2015

    Huo wa dharura vigezo vyake ni kama huu mwingine.halafu hiv mtu ukihamia halmashauri nyingine unaweza kuomba kusoma ht kama hujaitumikia kwa mwaka?
  8. P

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Kama hutojali naomba utufahamishe hizo sign ulizopata za acute HIV
  9. P

    Uhamisho kwa watumishi wa Serikali za Mitaa, July 2015

    Ni kweli barua zishafika halmashauri.
  10. P

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Hiyo kozi ajira yake ni ngumu saana kwa sasa serikali inaajiri registered nurse (RN)na enrolled nurse(EN)kwa nini usiende kusoma hizo kozi badala ya hiyo medical attendant?
  11. P

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Medical attendant ni msaidizi wa nesi na sio daktari
  12. P

    Kuna msichana hapa MMU kanichezea afu kaniacha

    Yuko busy anakula idd na mwenzako walokutana nae Facebook. ..
Back
Top Bottom