Yamenikuta

Yamenikuta

Inawezekana chanzo cha ugomvi wenu ni ushirikina wenu!
 
mganga wa kienyeji. hahahaahhahahahaah anakutakia mabaya huyo si wamepigwa marufuku hao waganga wa jadi
 
Kuna jamaa alikuwa anatafuta kazi akapewa namba ya mganga na kuhakikishiwa akipiga hiyo namba lazima apate kazi. Hata hela ya vocha alikuwa hana akaomba, kapiga simu na akapewa maelekezo ya kufika ofisini kwa mganga bila kujua anaenda kwa mganga Alipotoka huko kichapo na matusi aliyopata aliyemdanganya hatakaa asahau. Na urafiki wao uliisha siku hiyo.
 
Kuna jamaa alikuwa anatafuta kazi akapewa namba ya mganga na kuhakikishiwa akipiga hiyo namba lazima apate kazi. Hata hela ya vocha alikuwa hana akaomba, kapiga simu na akapewa maelekezo ya kufika ofisini kwa mganga bila kujua anaenda kwa mganga Alipotoka huko kichapo na matusi aliyopata aliyemdanganya hatakaa asahau. Na urafiki wao uliisha siku hiyo.

Ha haaa... Kuna viroja aise
 
金難一z月嗯嗯嗯呢个时候
我們認為金z月難弓壣木㔱土日月難竹z月日弓金 z月金竹尸丶金弓日竹尸 z弓難大尸
z難弓尸金弓日十手:d

Haa jamani kumbe ndio ilivyokuwa....pole mkuu
 
kuna mpenzi wangu tumeachana/nimemuacha kama wiki moja iliyopita hivi, sasa amechukua namba yangu na kuiweka kwenye vibao akaviandika MGANGA WA KIENYEJI KUTOKA SUMBAWANGA na akavitundika kwenye miti nimebahatika kuona kimoja sasa sijui aliweka vingapi!
Sasa napata sana usumbufu napigiwa simu nyingi sana na kutoka Dar es salaam wakidai mimi ni mganga wa kienyeji kama nilivyotangaza!
naombeni ushauri nifanyeje?

Sijaelewa ...ww nae yanekukuta au ndio ..
 
duh mshukuru sana ni pm namba yake uyo dem wako nimpongeze maana mbunifu sana
 
Back
Top Bottom