Recent content by pericolonitis

  1. P

    I miss those days

    Nimeipenda saana madeni china maana mi nilikuwa mmoja wapo
  2. P

    GE2015 Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais

    Mafuriko yooote yalielekezwa baharini tangu tar24 ni mwendo wa kuchuana kwa kura tuu na sasa ni kusherehekea tuu ushindi
  3. P

    GE2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

    Kwenda zako wewe tushangilie nini tulishajua tangu j.3 kwa mujibu wa kura zilivyokuwa zinakwenda tulishajua magufuli ndio raisi wetu kwa hiyo we kakojoe ulale maana naona unausingizi
  4. P

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Utakalia hayo hayo ya goli la mkono na nyie si mngepiga bao la tumbo kwani mlizuiwa.
  5. P

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Hata haueleweki mkuu hebu shusha pumzi kwanza afu uje utupe hii habari vizuri maana sijui umepanik
  6. P

    Dar YATAPIKA Mkutano wa Magufuli, NYOMI YA KUFA MTU

    Ndugu mkamba mmasi umerusha jiwe gizani na hao wanaotoa povu ndio limewapata...
Back
Top Bottom