unalolisema ulijui kwamaana ujui n.a. ujitambui,kuna mikutano kila kona nchini arusha kuna mikutMom ano ya kampen lushoto n.a. ulanga iliisha juzi,walishindwa kuzuungumza kwenye hiyo mikutano?tafakar acha kukurupuka
Wananchi wa mtwara hawana kosa lolote ila serikali ya ccm ilianza vibaya na hata baada ya kujua kwamba wameharibu hawataki kukubali kosa ila kila kukicha ni vitisho na vipigo na wengine kufungwa,ila mwisho wa siku tunarudi pale pale kwamba wananchi wa mtwara wanahitaji elimu kuhusu Raslimali zao...
Kunakila sababu yakumshukuru Mungu kwa yoote ambayo tumekutana kuanzia pale tulipo zaliwa mpaka sasa,ila huyu jamaa Nchemba sijui kama Mungu wake ni huyu wetu maana anaroho mbaya kupita kiasi mpaka amesha waambukiza akina Shonza na Mwampamba,ameua sana,anamdomo mchafu,anawabambikizia watu kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.