Yaani hawajawahi kujiongeza tangu enzi wameendelea na utaratibu huo. Hata vituo vipya navyo kwenye sero hakuna vyoo. Kwanini sero isiwe self kama zilivyo sero za mahakamani?
Kwenye mwendokasi Watoto wa miaka 5 na kuendelea wanalipia hiyo 200/ tofauti na kwenye panton ambapo wanafunzi wanapanda bure.
Wangemuelewesha tu. Sema kwakuwa na Dada mjamzito hakuwa na mpango wa kulipa hiyo 200/ ndiyo maana yakatokea hapo.
Wanachoweza kufanya ni gharama zote zinazofuata zikatwe kwenye hela wanazodai mpaka watakapomaliza. Watadai Baki Kama itakuwepo.
Hela huwa ni rahisi kuingia, kutoka kwake ni changamoto.
Waliondoka wakaenda jihusisha na siasa kitu ambacho hakiruhusiwi kwa watumishi wa umma, washukuru walipewa likizo ya mwezi mmoja circular iliyopita wangekoma utumishi kabisa.
Weka siasa pembeni.
Walitakiwa wampangie Nyumba mtumishi wao na sio kubadili ofisi kuwa Nyumba ya kuishi labda Kama jengo lingekuwa na nafasi kubwa kuweka ofisi na makazi.
Hayo
Hayo ni mawazo yako. Nao walipongeza sababu waliowaweka kugombea hawawezi mtikisa Magufuli, wale ambao hawajafika hapo ndio wanaweza itikisa CCM uchaguzi huu ukiwa tu Ni huru na haki.
Mwenyekiti wa halmashauri yeye hanunui maana unakuta meyor anayeonekana ofisini siku ya alhamis ana shangingi raia wanakosa Maji au zahanati.
Kafanya jambo zuri mkurugenzi. Kama kuna Gari la kumfikisha mahala anakohitajika hakuna haja ya kununua lingine
Kama walipita kwa wadau Na wadau wakapinga walitumia vigezo gani kuidhinisha ongezeko hilo la 8%? Kwamba rais kadanganya au hata wadau wakikataa wao EWURA wakiona kuna ulazima wanaongeza?
Eti mvua zimekuwa chache na hivyo umeme utanunuliwa kwa bei kubwa kwahiyo kuweka mapato sawa wanarudi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.