Recent content by pendoharri

  1. pendoharri

    Msajili Hazina: Hakuna mtu aliyekuwa akipokea mshahara milioni 40

    [emoji85] [emoji85] eti yule wa Tanapa alikuwa anajilipa shi ngapi vilee[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  2. pendoharri

    Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

    Amemwaga mboga mwenzie kamwaga ugali.Ngoma droo
  3. pendoharri

    Funzo kutoka kwa afande sele

    Anapuyanga sana
  4. pendoharri

    Nifanyaje nimsahau?

    Duuuhh tamu lakini fup
  5. pendoharri

    Mbona wasichana wanazaa wakiwa wadogo sana?

    Heri anaezaa kuliko anaetoa mimba.Au wanaojiloga na vizuizi vya mimba.Mwisho wao unakuwaga mbaya
  6. pendoharri

    Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

    Nipo mimi mnyamwez
  7. pendoharri

    Wanawake wengi wanapenda kuwa na wanaume waliokwisha toka kimaisha hivyo wanaishia kuumizwa

    Unakuw namtu kipindi hana kitu unga unga mwana ngoma itie nanga,unamshaur na kumpa maarifa ya kujikwamua ila akipata hayo mafanikio ndio ule msemo wa wahenga unapata nguvu PATA PESA TUJUE TABIA YAKO.bora kukutana na mtu aliyezichanga mtafurahia matunda ya uhuru
  8. pendoharri

    Kuwekana kwenye profile picha ndo kipimo cha upendo?

    Ivi ndoa za zamani kwanini zilidumu?walikuw wanaweka picha kwenye paji la uso[emoji3] [emoji3] [emoji3] najaribu kuwaza kwa sauti
  9. pendoharri

    Kuwekana kwenye profile picha ndo kipimo cha upendo?

    Umenena mkuu.Unawekwa profile na bado watu wanatumia vizuri.Furahia kuwekwa moyoni,uwe mmiliki wa moyo wake.
Back
Top Bottom