Unakuw namtu kipindi hana kitu unga unga mwana ngoma itie nanga,unamshaur na kumpa maarifa ya kujikwamua ila akipata hayo mafanikio ndio ule msemo wa wahenga unapata nguvu PATA PESA TUJUE TABIA YAKO.bora kukutana na mtu aliyezichanga mtafurahia matunda ya uhuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.