Recent content by pendeka

  1. P

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina Tecno w4 bei 130000, ainaubovu wowote mwenye kuhitaji ani pm
  2. P

    Meza na viti vya plastick

    Nahitaji meza na viti vya plasitiki(used) vilivyo katika hali nzuri mwenye navyo anipm plz
  3. P

    Anahitajika mpishi

    Anahitajika mpishi anayejua kupika aina mbalimbali za vitafunwa pamoja na chakula kama mandazi, chapati, sambusa, kababu nk, mshahara maelewano, pm
  4. P

    INAUZWA Kabati Na Sofa Vinauzwa Bei Ya Kutupa Niko Dar

    Kabati la vyombo ni la kichina au mbao
  5. P

    Natafuta simu ya kununua

    Njoo nikuuzie tecno W4 aina ubovu wowote bei 130000
  6. P

    Nauza Maziwa fresh ya ng'ombe

    Lita bei gani, na unapatikana wapi??
  7. P

    Nauza laini za miamala ya tigo pesa na m pesa

    Iyo line bado ipo
  8. P

    Nauza vifaa vya mgahawa

    Ivyo vitu bado vpo mkuu, kama bado vipo nipe jibu nikupigie
  9. P

    Samsung Note1 na Techo Y6 vinahitajika!

    Ninanyo Tecno W4 130000 aina tatizo lolote
  10. P

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Na me nahitaji nielekeze wapatikana wapi
  11. P

    Kusoma au biashara

    Heri ya mwaka mpya wana MMU, naombeni ushauri, Mimi ni mdada wa miaka 28 nimeolewa. Ila sikubahatika kusoma, lakini mwenzangu yeye amebahatika kusoma na ana kazi nzuri tu, mwakajana alinishauri nijiunge na elimu ya watu wazima yaani secondary kwa miaka miwili, lengo likiwa nitakapo maliza...
  12. P

    Beach nzuri ya kwenda kuogelea leo

    Mkuu fun city kiingilio ni bei gani kwa watoto na watu wazima
Back
Top Bottom