Heri ya mwaka mpya wana MMU, naombeni ushauri, Mimi ni mdada wa miaka 28 nimeolewa.
Ila sikubahatika kusoma, lakini mwenzangu yeye amebahatika kusoma na ana kazi nzuri tu, mwakajana alinishauri nijiunge na elimu ya watu wazima yaani secondary kwa miaka miwili, lengo likiwa nitakapo maliza...