Recent content by pembankwetu

  1. P

    Waraka: Shule 11 za Serikali Hazitahusika na Utoaji wa Elimu Bure

    Enzi wakati wa Elimu bure ulikua hununui hata daftari kila kitu ilikua bure kuanzia daftar,kalamu ,penseli na hata vile vifaa vya kuchorea na hesabu ambavyo tuliviita kampasi basi ilikua bure. Na wale wanafunzi wa boarding ulikua unaenda wewe na nguo zako tu mpaka shuka ya kujifunika na...
  2. P

    Naombeni ufafanuzi juu ya hatma ya uchaguzi jimbo la Ludewa

    Hata kama angeshinda pingamizi basi maadam kafariki na bado uchaguzi ni lazima uchaguzi urudiwe kwani bado alikua sio mbunge mpaka aapishwe
  3. P

    Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

    Wewe hata Tv huangalii
  4. P

    Mada moto: Mwigulu na Kafulila LIVE on Channel Ten

    Barcelona vs PSG, bayern munich vs Porto
  5. P

    Mtoto wa Jaji Joseph Sinde Warioba ajiunga ACT-Wazalendo

    Hongera sana June.Nakukumbuka sana wakati ulipokua unafanya kazi Zantel
  6. P

    Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

    Kwa hili wala hatofanikiwa kwani hakuna asojua kwamba ACT na ADC ni matawi la CCM, na hii ni ajenda maalum na mkakati wa kupunguza kura za upinzani
  7. P

    Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

    hawa vijana 6000 ambao wapo katika kambi ya Tunguu iliyopo mkoa wa Kusini Unguja,ambao kazi yao wanapewa mafunzo ya kigaidi na CCM na namna gani ya kuanzisha vurugu katika uchaguzi.Maana imefika mpaka kuwekewa picha ya Maalim Seif na Juma Duni wakaambiwa wajifundishie kulenga shabaha.Jee hili...
  8. P

    Tanzia: Mwakilishi Jimbo la Magomeni Salmin Awadh Salmin amefariki

    Nawaombeni musikilize kauli yake ambayo ameitoa hivi juzi ya kwamba Zanzibar hawatoi nchi hata ikibidi watu kufa wafe tu.Nendeni facebook page ya zanzibar yetu mutaisikia
  9. P

    CCM mpo nyuma ya mchezo huu? Mwaitambua hatari iliyopo??

    Video hii inanikumbusha mwaka 2001 kule Pemba, walivyokua wanatie vinyesi visimani na mashuleni halafu wakasingizia wapinzani.Hivi inaingia akilini kweli kisima munacho chota maji mtaani ukakitie kinyesi, nyinyi watu wa mtaani maji mtachota wapi.Hii yote ilikua ni kuhalalisha mauaji...
  10. P

    Kwanini Maalim Seif hakuwepo Mbagala!?

    Wacha ujinga Maalim Seif hayupo nchini zaid ya wiki sasa
  11. P

    Hongera Mwigulu na Easter Bulaya

    Taaarifa ya habari ya ITV jana saa mbili usiku
  12. P

    Hongera Mwigulu na Easter Bulaya

    Napenda kuwapongeza viongozi hawa wawili kwa msimamo wao wa kuacha ushabiki na kutetea haki za binaadam na kukiri hadharani kutokubaliana na kile kilichofanywa na police dhidi ya Profesa Lipumba hapo jana
  13. P

    Mkurugenzi ZBC apandishwa kizimbani Zanzibar Kwa ukwepaji kodi.

    Huyu ni mkereketwa nambri one wa ccm, sote tunakumbuka enzi zile za comando salmin
  14. P

    Mkurugenzi ZBC apandishwa kizimbani Zanzibar Kwa ukwepaji kodi.

    Haya tuone Shein atachukua hatua gani kwani mtoto wake kaolewa na mtoto wa mitawi ambae ndie mrajis tume ya utangazaji zanzibar
  15. P

    UKAWA inahitaji kura hizi kushinda Urais 2015

    Kinana yupo china huku alikuja na Rais kesho anaelekea shanghai
Back
Top Bottom