mmawia nikupe mfano mmoja mmdogo tu diwani wetu hivi juzi kakabidhiwa nyumba kama 10 hivi za kisasa ambazo zilijengwa na kampuni ya barabara dodoma to iringa ambazo walikuwa wakiishi wahandisi wa ujenzi wa barabara hizo kabla hajakabidhiwa nyumba hizo na jamaa wa tan road nyumba hizo zilikuwa na...
Nimecheka sana kuna mtu mmoja wa karibu na hao watuhumiwa(baadhi ya viongozi) eti wanapita kwa wafanya biashara wakubwa kukopa fedha ili wakahonge takukuru kweli siku ya kufa nyani wanajua ndio zama zile ngoja tuone mwisho wao
nikipata bahati ya kuulizwa leo ni nani aliye
ihujumu mtera saccos ikafa basi jibu ni maafisa wa ushirika wilaya ya mpwapwa mmojawapo anaitwa massawe walikuwa wanawaminisha wananchi(wanachama) kuwa saccos ipo salama kumbe kilichokuwa kinaendelea walikuwa wanagawana fedha na viongozi wa wasaccos...
Binafsi nilijua nipo peke yangu kuna siku nikiwa mahali fulani mjadara ulikuwa ni kero tawi la crdb chamwino any way ndivyo tulivyo wa tz siku ya kuomba kazi unatia huruma ngoja uizoee
tunae mwalimu jipu hapa shule ya msingi msanga wilaya ya chamwino karibu kabisa na ikulu ndogo ya chamwino dodoma jina lake halisi ni prisca nyonyo alikuwa nyuma yangu kimadarasa anatumia cheti cha dada yake anaitwa stella nyonyo kwahiyo kwa sasa anaitwa stella nyonyo, stella nyonyo origino ni...
mtuhumiwa bw.Aziz mfanyakazi wa tanesco mtera kafikishwa mahakamani leo asubuhi naishi mpwapwa hapa nilifika mahakamani baada ya kupata taarifa jf kakosa mtu wa kumdhamini yupo gereza la ilolo mpwapwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.