Recent content by pee-pee

  1. P

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wafungiwa nje

    Wanyooshwe mpaka wanyooke! Hakuna wazembe kama wafanyakazi wa umma kama hawawezi kuwahi wa resign kuna vijana wengi sana wanatafuta kazi ambayo wao wanaizembea
  2. P

    JamiiForums Tanzania Hivi vikikusanywa vinyesi vya watanzania wote hatuwezi kuzalisha umeme wa kutosha?

    Haaa..nmecheka sana mleta uzi ameichambua mada yake very seriously kweli jf Great Thinkers
  3. P

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Alikuwa wapi asiwajibike siku zote plz mh rais muajibishe kwanza yeye anatafuta pazia la kujifichia ili asiumbuliwe tanesco kumeoza tanzania ni nchi yetu msiyageuze mashirika ya umma shamba la bibi...I HATE HYPOCRITES!
  4. P

    JamiiForums Tanzania Gari la kubeba magazeti linalomilikiwa na Kampuni ya Mwananchi linalokwenda Mbeya limepata ajali

    Nadhani imefika wakati kampuni za magazeti zibadili mfumo wa kukimbiza magazeti mikoani na magari na ibuni technology ambayo magazet yatapatikana nchi nzima #rip wote waliopata ajali
  5. P

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu wanajf tafadhali

    Nashukuru kwa kuniondoa hofu
  6. P

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu wanajf tafadhali

    Mimi nina ujauzito wa miezi miwili na nusu nilienda hosp nikapiwa mkojo nikakutwa na UTI nikaandikiwa vidonge vya amoxylin 2*3 kwa siku tano je kuna madhara yoyote ya dawa hizi nikilinganisha na umri wa mimba yangu kwa anaefahamu tafadhali anisaidie
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini maeneo haya yalipewa majina ya hivi?

    yeah..kila sehem ina historia yake kutegemea watu walioishi maeneo hayo na activity zilizokuwa zikiendelea ni wa chache wanaokumbuka historia ila wengi wao make up stories ila shavu tu au siyo????????
  8. P

    JamiiForums Tanzania Mapenzi !

    ha haaa... mwenye kujiua anasema??? wizi mtupu!
  9. P

    JamiiForums Tanzania Kazi Wizara ya Foreign Affairs- Changamkia

    thanx mkuu hizi kazi ndo mpaka ujue kihispania, kiarabu kwa kweli wanahitaji ma proffessional
  10. P

    JamiiForums Tanzania wanajamii mko poa?

    mh! jmn wakaanga sumu maarufu?
  11. P

    JamiiForums Tanzania wanajamii mko poa?

    am a new member jmn in dc forum lookin forward to hv nice cooperation with you mnipokee kwa uzuri
Back
Top Bottom