Kwanini maeneo haya yalipewa majina ya hivi?

Asante, angalau wewe bra unafahamu maana ya eneo unaloishi, wengine wako wapi????? nimekugongea thanks kwa ujasiri wako

Mbona wewe husemi la kwako? Kitunda ni jina la mtu mmoja Mnyakyusa alikuwa anakaa sehemu za Ukonga kule kusini baada ya kustaafu uaskari Magereza Ukonga. Kulikuwa ni pori, kila aliyeenda kule alisema anaenda kwa Kitunda na likageuka jina la sehemu hiyo.
 
Uko deep kaka kinoma, sukrani kwa maana hizi wengine walikuwa hawajui kabisa maana ya maeneo wanayoishi ila sasa watatembea kwa confidence
kibanda cha mkaa

nikituo kinachofata baada ya kwamsuguri kunakituo cha msaada then unaingia kibanda cha mkaa kama lilivyo jina palikuwa na kibanda kinauza mkaa ila kwa sasa pamekuwa pakubwa so baada ya barabara kubwa hii kujengwa watu wakawa waakitaka kusema unaposhuka unasemaa msaada kwenye kibanda cha mkaa likawajina kikawa kituo siku hihi
Na Uwanja wa Fisi je?
 
Mbona wewe husemi la kwako? Kitunda ni jina la mtu mmoja Mnyakyusa alikuwa anakaa sehemu za Ukonga kule kusini baada ya kustaafu uaskari Magereza Ukonga. Kulikuwa ni pori, kila aliyeenda kule alisema anaenda kwa Kitunda na likageuka jina la sehemu hiyo.


bigup upo sahihi kabisa asante kwa kunitangulia
 
Mbona wewe husemi la kwako? Kitunda ni jina la mtu mmoja Mnyakyusa alikuwa anakaa sehemu za Ukonga kule kusini baada ya kustaafu uaskari Magereza Ukonga. Kulikuwa ni pori, kila aliyeenda kule alisema anaenda kwa Kitunda na likageuka jina la sehemu hiyo.
Mimi naishi kijiji kimoja huku kinaitwa Panga la Mwingereza
Maana yake ni kaburi la Mwingereza, lilipewa jina hilo wakati wa ukoloni pale Mwingereza mmoja alipouawa na Watanzania na kuzikwa eneo hilo
 
hicho kijiji kiko wapi?
Mimi naishi kijiji kimoja huku kinaitwa Panga la Mwingereza
Maana yake ni kaburi la Mwingereza, lilipewa jina hilo wakati wa ukoloni pale Mwingereza mmoja alipouawa na Watanzania na kuzikwa eneo hilo
 
Uko deep kaka kinoma, sukrani kwa maana hizi wengine walikuwa hawajui kabisa maana ya maeneo wanayoishi ila sasa watatembea kwa confidence
Na Uwanja wa Fisi je?

uwanja wa fisi
ni kwasababu ya fujo na ufirauni ulokuwaunatendeka hapo usiku na mchana pakaitwa majina mengi tu ila la uwanja wa fisi likashinda.

ila sasa hivi mungu ashukuriwe ni uwanja wa sifa praise the lord:rolleyes:
 
Ila kweli husband wako drphone yupo deep sana na anawakilisha vyema ila akirudi home nite umuulize amejuaje maana za maeneo yote haya isije ikawa ndio small house zake zote zimo humo.
my dia mm hata sijui,husband kaniwakilisha hapo
Asante
 
Mazee upo deep kwakweli
Na wale wanaoishi maeneo ya
Mbezi Tanki Bovu
Mbezi Samaki
Mbuyuni
Morocco
Posta
Kariakoo
etc etc etc mtupe maana ya maeneo mnayoishi
Pale mbezi mkono wa kushoto ukienda Tegeta kulikuwapo tanki la maji ambalo kwa siku nyingi lilikaa hapo, sasa limeondolewa. Lilikuwa linaonekana hata ukiwa barabarani na limetoweka mwishoni mwa miaka ya tisini. Watu walilitumia kama reference point ya kukutana na likawa jina na ni kituo maarufu cha mabasi halta kesho.

Samaki wabichi kuna mtu alikuwa anauza samaki fresh pale, wengi walienda kununua kwake na wakapafanya jina Samaki wabichi. Mwanzoni kilikuwa ni kituo cha msaada kwa daladala, kwa sasa ni kituo maarufu tu isipokuwa kwa makonda wabishi ambao hukifanya kituo cha kupakia lakini sio kushushia abiria.
 
uwanja wa fisi
ni kwasababu ya fujo na ufirauni ulokuwaunatendeka hapo usiku na mchana pakaitwa majina mengi tu ila la uwanja wa fisi likashinda.

ila sasa hivi Mungu ashukuriwe ni uwanja wa sifa praise the lord:rolleyes:
Sikujua kuwa siku hizi Jina la Bwana linainuliwa pale uwanja wa fisi. Asante kwa kunijuza bra
 
usijali,I dnt count of the past I count of the present dia,I trust him he cn neva hurt me,count on ur braza!
Ila kweli husband wako drphone yupo deep sana na anawakilisha vyema ila akirudi home nite umuulize amejuaje maana za maeneo yote haya isije ikawa ndio small house zake zote zimo humo. Asante
 
Sinza shekilango...ni jina la mmoja wa waliokuwa viongozi kabla na baada ya uhuru wa Tanganyika alikuwa akiitwa Hussein Shekilango nasikia huyu bwana alifariki kwa ajali ya ndege kaskazini mwa Tanzania na Mwl. Nyerere kwa heshima na kumbukumbu ya Shekilango akaagiza ile barabara ipewe jina lake!
 
Back
Top Bottom