mkuu mshana naomba unijuze kuhusu ulaji wa mafuta kwa gari spacio old model maana gari yangu inatumia mafuta lita kumi kwa km 56,nimejaribu kubadilisha plug na kufanta service nyingine km kuchange oil filter na vingine ila bado inanichangana kwenye ulaji wa mafuta, ushauri wako mkuu, maana...
Waziri wa mambo ya ndani mh. Mathias Chikawe ametoa tamko la kupiga marufuku wale wote wanaohusika na upigaji ramli kwa nchi nzima kuacha mara moja, ili imetokana na wapiga ramli kuwapotosha na kuwadanganya wateja wao ili kuwa poteza ndugu zetu wenye albinism.
Chanzo: TBC habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.