Recent content by Peacesmart

  1. Peacesmart

    Naomba kujua maisha ya Canada waliowahi kufika huko mnijuze

    Dogo kwa ushauri wangu binafsi naona kwanza tafuta balozi za nchi unataka kwenda ktk ofisi zao hua wanakua na washauri makini sana kutegemeana na aina ya visa unataka.. kama ni ya shule, biashara or anything else..humu utayaoga matusi ya wasiopenda maendeleo yako they just don't give a damn...
  2. Peacesmart

    Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

    Umeona mbali sana mkuu... anachomaanisha muweka topic tumeishakijua ila hana kipya. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Peacesmart

    Asilimia kubwa ya wanawake wa mijini wanajiuza ila wanabagua dau na mazingira ya kujiuzia

    Msema kweli kuhusu uzinzi ni mapenzi wa Mungu sema mama laki kavukavu[emoji15] [emoji57] welldone kwa kua mkweli Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Peacesmart

    Kama wewe 'Bikra',kutana na wenzio hapa.

    [emoji16][emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Peacesmart

    Nilichojifunza BAADA YA KUPIGWA BAN..

    Naona JF kuna kaugonjwa wa Ban za upendeleo nshawahi kula ban 2 Humu ndani ya wk 2 pamoja na ustaarabu wangu... hapa saivi na comments mada za watu nikipandisha yangu wanafuta fastaa [emoji26] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Peacesmart

    Taja Jina zuri Kwa mtoto

    kidume Mwite Baracka na wa kike Imani Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Peacesmart

    Mi nakuja kwako kulala ila usinisumbue wewe ukijisikia fanya yako usiniamshe

    Akishakuja tuwekee picha na mrejesho na sie kaka... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Peacesmart

    Kukithiri kwa vitendo vya Utekaji wa watoto/kidnapping katika Jiji la Arusha

    Sasa kwa nini wanateka Watoto?... Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Peacesmart

    Jux naye aisoma namba, duka lake lakumbwa na bomoabomoa ya kushtukiza

    August 29, 2017 bomoabomoa imepita kwenye duka la dada wa mwimbaji wa Bongofleva Juma Jux ambalo lilikuwa linauza bidhaa zake za mavazi ya African Boy. Fatma ambae ni dada wa Jux alichukua video na kusema “Hii ndio hali niliyoikuta baada ya kufika dukani kwangu leo asubuhi, tumebomolewa bila...
  10. Peacesmart

    Taarifa ya Polisi: Watu waliozilipua ofisi za IMMMA Advocates waliwadanganya walinzi kuwa wao ni askari

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, leo limesema kuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa watu wasiojulikana utambulisho wao na idadi yao walifika katika ofisi za Mawakili wa IMMMA Advocates wakiwa katika magari mawili na kujifanya ni maaskari na kuwarubuni walinzi na kuondoka nao katika...
  11. Peacesmart

    Kamata Kamata ya "NO ENTRY jijini Dar umejifunza nini.

    Duuh Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Peacesmart

    Wafugaji Mkuranga wasimulia jinsi mifugo yao ilivochukuliwa

    Hivi haya maeneo si tunaambiwa amani imejirudia jamani? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Peacesmart

    Water quality laboratory technology

    Itakua ni life science mazee ambayo ina matawi mengi sana..ila ktk hii naona inahusu zaidi microbiology course ambayo ina deal zaidi na vijidudu ambavyo havionekani kwa macho ya kawaida ila darubini za maabara na uchunguzi wa kina kwa uj umla na inawezekana ni Moja ya course ambayo sio popular...
Back
Top Bottom