NYIE LALELNI KILA WIKI AMA WIKI 2 MFULULIXO KABLA YA KULALA ANGALIEN SALIO
MKIAAMKA SAA ANGALIEN SAANNE AMA TANO IMEBAKI SH NGAPI...........
NA WANAKATA HELA NDOGO TU
50...100. 😆 😂 😆 😂 😆...
Hahahahq wote mkuu
Mwaka flan nilikuwa naweka vocha natumiwa msg umekatwa sh xxxx uliyokopa heee nkaendabtigo hii mara yatatu lini nimekopa na saangapi..wakaangalia baadae jion nikakuta msg unezawadiwa nda wa maongezi wa wiki nzima na sms kadhaa nkasemahelayangu converted.. nkahamia airtel so...
NA WAKIWA WAKICHINJA HUTAKIWI YAAN MNAJAZANA NJE KUSUBIRI SPARE KAMA MNASUBIRIA MWENDOKASI MKIINGIA WEWEEE MNAGAIWA MAFUNGU YA NYAMA KALE UONE
AGANO ZZILE.......
Ee Mungu, uturehemu na utujaalie tuione dunia yenye haki na amani. Dunia imebadilika, watu wengi wamekuwa na mioyo migumu isiyo na huruma.
Kwa wanaofuatilia kesi ya Albert Ojwang nchini Kenya, kila kinachoendelea kinaumiza na kuacha maswali mengi.
Mungu tusaidie. Leo hali ilikuwa hivi...
---...
Pongezi mtoa mada haya ndio mambo yamaana sio tunaambiana chimbo la wanawake bei rahisi 😆 😂 😆 starehegharama
hunahela tulia una hela njoontuuze mbuzi na mpwa huku
ooh sijui lodge gani zina discount 🤔 😀
Discount amejenga babako??
barikiwa mkuu nimekamata machimbo kadhaa leo toka humu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.