Recent content by Pdidy

  1. Pdidy

    Boma linauzwa Mbezi Msakuzi

    docs kipengele dah m nishataka kuuziwa mimbaaa goba na docs kama zote na mwenyekiti ser za mitaal aliishapangwa niliposhtuka sikutakwenda kulipa nkaxima simu maximal na aliensaidia kuntonya n jiran aisee m bila hati mmh
  2. Pdidy

    Utapeli kwenye uchawi na hatua za kuchukua

    kula chumviiyamawe zaman nilikuwa naambiwa ogea nkaona manufayake nkasema shidann kama.majiyananilinda wacha nipige ingie kwa damu kabisaaaaaaa
  3. Pdidy

    Watoto wa marehemu Mzee Augustino Ilomo wamuomba RC Iringa kuingilia mgogoro wa mirathi

    sisi baba yetuu mdogo akishirikiana na watoto wakambo akatala kutuzimq kiwanja cha mzee kuja kushtuka kha tukawahi.mahakamn fasta tukamstopisha asifanyr chochote baadae tukamwondoa Aliandika mzee kawasaki watoto wakambo tukanza dili na watoto wakambo mahakaman watupe docs 😂 😆 😂 wakatuletea...
  4. Pdidy

    Mirathi ya Le Mutuz iligawanywaje?

    NIKISIKIA MTU ANAULIZIA MGAO NASIKIA KAMA ANATAKA NIPIGA KISU
  5. Pdidy

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    shikari jaji mfawidhi popoteeulipoo
  6. Pdidy

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    kakutana na bomba ya maana itakuwa ...napitatu yaan hii dunia watu wanakaa miaka 21 wanaachana na kuna watu wanajazana kwa mwamposa kuhan MUSA SUGUYE " WANAOMBA MUNGU AWARUDISHE WAUME ZAO WAMEKIMBIA AISEEEE^^
  7. Pdidy

    Askari polisi Kenya ajichanganya

    Makosa RISASI
  8. Pdidy

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Sikia kwa watu mkuu yasiksukute sie wengine siku 31 zilikuwa nyingi tukachapalapa nakuacha kodi ya mwaka nkasema bora abaki na kodi kuliko mambo yageuke mbelen tuanze kuulizana umechuma ngapi napata ngapi woii Ahimidiwe Mungu alienipa nguvu ya kufanya maamuxi mapemaaaaaaa Kunikomboa na magonjwa...
  9. Pdidy

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    .wacheni mama yetu apige kazi jaman mambo ya kuchafuana hayana maana
  10. Pdidy

    Kenya hatarini kupoteza Haki ya kuandaa AFCON 2027 kwa kushinwa kulipa ada ya uandaaji

    WAPELEKE MOROCOO MBAFU HAOO HATUNA HELA ZA KIMCHEZO MCHEZO
  11. Pdidy

    Kenya hatarini kupoteza Haki ya kuandaa AFCON 2027 kwa kushinwa kulipa ada ya uandaaji

    BORA ACHANENI NAO KABISA HAO CAF NA WAHUNI HAWANA MAANA KABISA HIZOZ PESA KAJENGEN VITUO VYA POLICE NA JAZENI HOSPT KILA KONA
  12. Pdidy

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Yupi huyo mkuuu
  13. Pdidy

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    DAH 21 NDIO MNAACHANA SI MNGEMALIZANA MAPEMA TU VIPI MGAO WA MALI UMEENDA SAWA SIO AMJATUAMBIA MGAO UMEKWENDAJE
Back
Top Bottom