docs kipengele dah m nishataka kuuziwa mimbaaa goba na docs kama zote na mwenyekiti ser za mitaal aliishapangwa niliposhtuka sikutakwenda kulipa nkaxima simu maximal
na aliensaidia kuntonya n jiran aisee
m bila hati mmh
sisi baba yetuu mdogo akishirikiana na watoto wakambo akatala kutuzimq kiwanja cha mzee kuja kushtuka kha tukawahi.mahakamn fasta tukamstopisha asifanyr chochote baadae tukamwondoa
Aliandika mzee kawasaki watoto wakambo tukanza dili na watoto wakambo mahakaman watupe docs 😂 😆 😂 wakatuletea...
kakutana na bomba ya maana itakuwa
...napitatu
yaan hii dunia watu wanakaa miaka 21 wanaachana na kuna watu wanajazana kwa mwamposa kuhan MUSA
SUGUYE
" WANAOMBA MUNGU AWARUDISHE WAUME ZAO WAMEKIMBIA AISEEEE^^
Sikia kwa watu mkuu yasiksukute sie wengine siku 31 zilikuwa nyingi tukachapalapa nakuacha kodi ya mwaka nkasema bora abaki na kodi kuliko mambo yageuke mbelen tuanze kuulizana umechuma ngapi napata ngapi woii
Ahimidiwe Mungu alienipa nguvu ya kufanya maamuxi mapemaaaaaaa
Kunikomboa na magonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.