Recent content by Pdidy

  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Khadija Kopa: Nilimkanya Zuchu usitumie mwili wako kupata umaarufu

    Nn kimetokea ?????
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Khadija Kopa: Nilimkanya Zuchu usitumie mwili wako kupata umaarufu

    Poleepolee utasemaa yoote mama mkweee Hivi lile gari walikupatia kadi ama ndioo ulikuwa usanii na nkkweoo 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 nchitamuhiii
  3. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    NYIE LALELNI KILA WIKI AMA WIKI 2 MFULULIXO KABLA YA KULALA ANGALIEN SALIO MKIAAMKA SAA ANGALIEN SAANNE AMA TANO IMEBAKI SH NGAPI........... NA WANAKATA HELA NDOGO TU 50...100. 😆 😂 😆 😂 😆...
  4. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    Hahahahq wote mkuu Mwaka flan nilikuwa naweka vocha natumiwa msg umekatwa sh xxxx uliyokopa heee nkaendabtigo hii mara yatatu lini nimekopa na saangapi..wakaangalia baadae jion nikakuta msg unezawadiwa nda wa maongezi wa wiki nzima na sms kadhaa nkasemahelayangu converted.. nkahamia airtel so...
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Fanyen na biashara hayamadude sioyakutegemea kilasiku
  6. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anataka kujiunga na chama fulani cha siasa. Nina hofu sana

    AKIPENDA CHA RREEMASSON NICHEKI MKUU PALE LAZJMA APELEKWE MIEZI SITA ANARUDISHA NEEMA YA FAMILIA
  7. Pdidy

    JamiiForums Tanzania ALBERT OJWANG DEATH...

    Camera ikionyesha mwamba alivyofikishwa kituoni mpaka akafa aisee Rip AO https://www.facebook.com/share/v/19GaXEpL7A/ Ojwang
  8. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mkiwa bado katika debate ya kwamba hauwezi fanya biashara Kariakoo bila uchawi, wachina wana takeover taratibu. Mbona hamuwarogi sasa!

    NA WAKIWA WAKICHINJA HUTAKIWI YAAN MNAJAZANA NJE KUSUBIRI SPARE KAMA MNASUBIRIA MWENDOKASI MKIINGIA WEWEEE MNAGAIWA MAFUNGU YA NYAMA KALE UONE AGANO ZZILE.......
  9. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mkiwa bado katika debate ya kwamba hauwezi fanya biashara Kariakoo bila uchawi, wachina wana takeover taratibu. Mbona hamuwarogi sasa!

    Waende magodown ta changombe ya spare za pikipik utawajua vizuri shehe..........
  10. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mkiwa bado katika debate ya kwamba hauwezi fanya biashara Kariakoo bila uchawi, wachina wana takeover taratibu. Mbona hamuwarogi sasa!

    Sioo kwa nchi yakoo tu Zambia wamepwa vyeo jeshini haoo Kenya huko na Uganda n balaaa Kwingine fanya research naendesha motorbikeyangu
  11. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kesi ya marehemu Albert Ojwang; Polisi wanatajana mmoja mmoja

    MWAMBA KAMTAJA BOSI WAKE NA ANAHITAJI NA YEYE AHOJIWE PATAMU...... ...INAENDELEA TUMA BUNDLE KWIKWII
  12. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kesi ya marehemu Albert Ojwang; Polisi wanatajana mmoja mmoja

    Ee Mungu, uturehemu na utujaalie tuione dunia yenye haki na amani. Dunia imebadilika, watu wengi wamekuwa na mioyo migumu isiyo na huruma. Kwa wanaofuatilia kesi ya Albert Ojwang nchini Kenya, kila kinachoendelea kinaumiza na kuacha maswali mengi. Mungu tusaidie. Leo hali ilikuwa hivi... ---...
  13. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Natafuta Minada ya Mbuzi na Kondoo kwenye mikoa hii

    Pongezi mtoa mada haya ndio mambo yamaana sio tunaambiana chimbo la wanawake bei rahisi 😆 😂 😆 starehegharama hunahela tulia una hela njoontuuze mbuzi na mpwa huku ooh sijui lodge gani zina discount 🤔 😀 Discount amejenga babako?? barikiwa mkuu nimekamata machimbo kadhaa leo toka humu
  14. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mkienda misibani acheni kwenda na sketi ama nguo fupi mabinti kule tunaombeleza jamani..ombi tu

    samahani kuuliza Hivi mbona ma x wengi wanakuja harusini lakini wakisikia umekufa hawakanyagi?? hii n "Jinai"
Back
Top Bottom