Recent content by PAYE

  1. PAYE

    JamiiForums Tanzania ACT-Wazalendo: Muda wa meli kukaa Bandari ya Dar umeongezeka, kumechochea mfumko wa bei

    Waziri Kivuli wa Ujenzi, Uchukuzi na Miundombinu kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Mtutura Abdallah Mtutura, ameishutumu Serikali kwa kuwadanganya wananchi kuhusu ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam. Mtutura ameeleza kuwa kipimo mahsusi cha ufanisi wa bandari ni muda ambao meli inachukua tangu...
  2. PAYE

    JamiiForums Tanzania Serikali yatoa siku 7 ipatikane suluhu bei ya Saruji (Cement)

    Serikali imewapa siku saba wazalishaji wa saruji nchini kuwasilisha mapendekezo ya namna ya kukabiliana na changamoto ya kupanda kwa bei na upatikanaji wa bidhaa hiyo katika soko. Magizo hayo yametolewa na ayo yametolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum...
  3. PAYE

    JamiiForums Tanzania FT | Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Ligi ya NBC | Uwanja wa Kaitaba | Kaitaba ni Nyekundu

    Match Day | Kagera Sugar F.C vs Simba SC
  4. PAYE

    JamiiForums Tanzania Emmanuel Okwi astaafu soka la kulipwa

    Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda, Emmanuel Arnold Okwi, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa baada ya miaka mingi ya mafanikio uwanjani. Kupitia ujumbe wake, Okwi amesema uamuzi huo ni miongoni mwa maamuzi magumu zaidi maishani mwake, akieleza kuwa soka halikuwa kazi tu bali...
  5. PAYE

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakataa baba yangu kufikia nyumbani kwetu kila anapokuja mjini, nifanyaje?

    Hofu yangu haitoki kwa mzee wangu; inatoka kwa mwanamke niliyempa kiapo cha, "hadi kifo kitutenganishe." Mzee wangu ni mfanyabiashara wa mazao kutoka mkoani. Mara kwa mara hupata safari za kuja mjini kushughulikia mizigo yake au masuala ya kifamilia. Lakini cha kusikitisha ni kwamba kila...
  6. PAYE

    JamiiForums Tanzania Mabala: Tuendelee kumlinda Rais Samia, kiongozi akikiuka misingi ya CCM apelekwe Kamati ya Maadili

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa, akizungumza na mabalozi na makada mbalimbali wa CCM mkoani humo, amesema Katiba Mpya haiwezi kupatikana kwa malalamiko yasiyo na tija, kwani suala hilo tayari limeainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM chini ya uongozi...
  7. PAYE

    JamiiForums Tanzania Zuchu na Diamond wapata mtoto wa Kike

    Msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz na Mkewe Zuchu wamethibitisha ujio wa Mtoto wao baada ya Diamond kuchapisha picha ya kuwa Zuchu amejifungua salama. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameandika "Welcome to the world, our precious little angel. You are already loved more than words...
  8. PAYE

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 18 walioshtakiwa kwa kughushi mikopo waachiwa huru na kukamatwa tena

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo, Jumatano tarehe 29/07/2026 imewaachia huru wanafunzi 18 wa Vyuo Vikuu mbalimbali Nchini wakiongozwa na Frank Benjamin Kayamba waliokuwa wanatuhumiwa kughushi nyaraka mbalimbali ili wanufaike na mikopo inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya...
  9. PAYE

    JamiiForums Tanzania Tamimu Omary: Kwanini iwe kosa mkwe au mtoto wa Rais kuwa kiongozi?

    Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Wazee Jasiri, Tamimu Omary Tamimu, amesema si sahihi kuuita utawala wa nchi kuwa wa "kisultani" kwa sababu watoto au ndugu wa viongozi wakuu wanateuliwa kushika nafasi serikalini, ikiwa wanakidhi vigezo vinavyohitajika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
  10. PAYE

    JamiiForums Tanzania INDIA: Polisi asimamishwa kazi baada ya kufyatua risasi ili kuwatawanya waandamanaji

    Mamlaka nchini India zimemsimamisha kazi afisa mmoja wa polisi baada ya kutumia bunduki ya kivita aina ya AK-47 kufyatua risasi hewani ili kuwatawanya wanafunzi waliokuwa wakiandamana katika jimbo la Bihar. Tukio hilo lililotokea mwishoni mwa wiki katika mji wa Siwan lilinaswa kwenye video...
  11. PAYE

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Serikali haiwezi kumsingizia msomi wa chuo kikuu kwa ugaidi

    Katika taarifa yake kwa wanahabari, Sheikh Saidi Mwaipopo amelaani vikali mbinu zinazotumiwa na baadhi ya wanachama na viongozi wa chama cha CHADEMA, akidai kuwa wanatengeneza taswira ya kuwa wema kwa nje ilhali wana ajenda za siri zisizo za uaminifu. Sheikh Mwaipopo alieleza kuwa matukio na...
  12. PAYE

    JamiiForums Tanzania Mke anatumia hela ya chakula nyumbani kwenye vikoba, mwisho wa siku, nakuta hakitoshelezi wala hakiridhishi, je hii ni sawa?

    Mke wangu anatumia sehemu ya hela ninayoacha nyumbani kwa ajili ya chakula kupeleka kwenye michezo yao ya kuchangishana pesa. Mwisho wa siku, nakuta chakula hakitoshelezi wala hakiridhishi kwa sababu bajeti imepungua. Bahati mbaya hata hajishtukii kwa anachokifanya, na kwa kweli wakati mwingine...
  13. PAYE

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Azam yapigwa Faini ya Tsh. Milioni 50 kwa kususia kukabidhiwa zawadi Zanzibar

    Kamati ya Mashindano ya TFF imeitoza Azam FC faini ya shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) iliyochezwa Julai 4, 2026 katika Uwanja wa Gombani, Pemba. Katika maamuzi hayo, kocha wa makipa wa Azam FC...
  14. PAYE

    JamiiForums Tanzania Regina Ndege akabidhi mifuko 30 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya CCM Kata ya Nangara

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray, amekabidhi msaada wa mifuko 30 ya saruji yenye thamani ya shilingi laki sita kwa ajili ya kuunga mkono ujenzi wa ofisi ya chama hicho katika Kata ya Nangara. Soma: Naibu Waziri Utumishi, Regina Ndege: Kwasasa ajira ni...
Back
Top Bottom