Recent content by PAYE

  1. PAYE

    JamiiForums Tanzania Mke anatumia hela ya chakula nyumbani kwenye vikoba, mwisho wa siku, nakuta hakitoshelezi wala hakiridhishi, je hii ni sawa?

    Mke wangu anatumia sehemu ya hela ninayoacha nyumbani kwa ajili ya chakula kupeleka kwenye michezo yao ya kuchangishana pesa. Mwisho wa siku, nakuta chakula hakitoshelezi wala hakiridhishi kwa sababu bajeti imepungua. Bahati mbaya hata hajishtukii kwa anachokifanya, na kwa kweli wakati mwingine...
  2. PAYE

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Azam yapigwa Faini ya Tsh. Milioni 50 kwa kususia kukabidhiwa zawadi Zanzibar

    Kamati ya Mashindano ya TFF imeitoza Azam FC faini ya shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) iliyochezwa Julai 4, 2026 katika Uwanja wa Gombani, Pemba. Katika maamuzi hayo, kocha wa makipa wa Azam FC...
  3. PAYE

    JamiiForums Tanzania Regina Ndege akabidhi mifuko 30 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya CCM Kata ya Nangara

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray, amekabidhi msaada wa mifuko 30 ya saruji yenye thamani ya shilingi laki sita kwa ajili ya kuunga mkono ujenzi wa ofisi ya chama hicho katika Kata ya Nangara. Soma: Naibu Waziri Utumishi, Regina Ndege: Kwasasa ajira ni...
  4. PAYE

    JamiiForums Tanzania Msusi wa mkeka aliyeandika jina la Dkt. Tulia azawadiwa Tsh. Milioni Moja

    Mkazi wa Mtaa wa Isengo, Kata ya Iyela jijini Mbeya, Enelesta Pili, amepokea zawadi ya shilingi milioni moja kutoka kwa Dkt. Tulia Ackson baada ya mjukuu wake kuchapisha mtandaoni video ikimuonyesha akisuka mkeka wenye jina la Dkt. Tulia. Enelesta amesema aliamua kuandika jina la Dkt. Tulia...
  5. PAYE

    JamiiForums Tanzania Ajira Mpya Manispaa ya Singida Mjini tumepokea fedha za kujikimu, asanteni kwa kutupambania

    Safi maana kero ilikuwa kama wimbo sasa
  6. PAYE

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Jiji la Tanga tumelipwa Fedha za Kujikimu

    Ndivyo inatakiwa
  7. PAYE

    JamiiForums Tanzania Wafungaji Bora wa Kombe la Dunia 2026

    Mpaka sasa katika Kombe la Dunia 2026, mbio za Kiatu cha Dhahabu (Golden Boot) zinaongozwa na wachezaji hawa: Kylian Mbappé (Ufaransa) – mabao 7. Lionel Messi (Argentina) – mabao 7. Erling Haaland (Norway) – mabao 7. Harry Kane (England) – mabao 6. Wakiwa na mabao 4kila mmoja: Jude Bellingham...
  8. PAYE

    JamiiForums Tanzania Majonzi, vilio vyatawala mwili wa Dereva wa Heche ukiwasili Tarime

    Asubuhi ya Julai 4, 2026, mwili wa aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara John Heche, marehemu Suez Dani Maradufu umewasili katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime (Bomani) kwa ajili ya kuhifadhiwa. Mwili huo umepokelewa kwa vilio na simanzi na ndugu, jamaa, marafiki, pamoja na...
  9. PAYE

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi Dar: Taarifa za gari la Polisi kuchomwa moto Mwenge ni uzushi

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa kuna gari la polisi lililochomwa moto na wananchi katika eneo la Mwenge, likifafanua kuwa habari hiyo ni ya uzushi. “Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka...
  10. PAYE

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyopandishwa Kizimbani Mahakamani

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 3, 2026, ambapo anatarajiwa kuchuana na jopo la mawakili wa Serikali kwa hoja za kisheria wakati wa usikilizwaji wa shauri...
Back
Top Bottom