Waziri Kivuli wa Ujenzi, Uchukuzi na Miundombinu kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Mtutura Abdallah Mtutura, ameishutumu Serikali kwa kuwadanganya wananchi kuhusu ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam.
Mtutura ameeleza kuwa kipimo mahsusi cha ufanisi wa bandari ni muda ambao meli inachukua tangu...
Serikali imewapa siku saba wazalishaji wa saruji nchini kuwasilisha mapendekezo ya namna ya kukabiliana na changamoto ya kupanda kwa bei na upatikanaji wa bidhaa hiyo katika soko.
Magizo hayo yametolewa na ayo yametolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum...
Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda, Emmanuel Arnold Okwi, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa baada ya miaka mingi ya mafanikio uwanjani. Kupitia ujumbe wake, Okwi amesema uamuzi huo ni miongoni mwa maamuzi magumu zaidi maishani mwake, akieleza kuwa soka halikuwa kazi tu bali...
Hofu yangu haitoki kwa mzee wangu; inatoka kwa mwanamke niliyempa kiapo cha, "hadi kifo kitutenganishe."
Mzee wangu ni mfanyabiashara wa mazao kutoka mkoani. Mara kwa mara hupata safari za kuja mjini kushughulikia mizigo yake au masuala ya kifamilia. Lakini cha kusikitisha ni kwamba kila...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa, akizungumza na mabalozi na makada mbalimbali wa CCM mkoani humo, amesema Katiba Mpya haiwezi kupatikana kwa malalamiko yasiyo na tija, kwani suala hilo tayari limeainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM chini ya uongozi...
Msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz na Mkewe Zuchu wamethibitisha ujio wa Mtoto wao baada ya Diamond kuchapisha picha ya kuwa Zuchu amejifungua salama.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameandika "Welcome to the world, our precious little angel. You are already loved more than words...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo, Jumatano tarehe 29/07/2026 imewaachia huru wanafunzi 18 wa Vyuo Vikuu mbalimbali Nchini wakiongozwa na Frank Benjamin Kayamba waliokuwa wanatuhumiwa kughushi nyaraka mbalimbali ili wanufaike na mikopo inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya...
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Wazee Jasiri, Tamimu Omary Tamimu, amesema si sahihi kuuita utawala wa nchi kuwa wa "kisultani" kwa sababu watoto au ndugu wa viongozi wakuu wanateuliwa kushika nafasi serikalini, ikiwa wanakidhi vigezo vinavyohitajika.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
Mamlaka nchini India zimemsimamisha kazi afisa mmoja wa polisi baada ya kutumia bunduki ya kivita aina ya AK-47 kufyatua risasi hewani ili kuwatawanya wanafunzi waliokuwa wakiandamana katika jimbo la Bihar.
Tukio hilo lililotokea mwishoni mwa wiki katika mji wa Siwan lilinaswa kwenye video...
Katika taarifa yake kwa wanahabari, Sheikh Saidi Mwaipopo amelaani vikali mbinu zinazotumiwa na baadhi ya wanachama na viongozi wa chama cha CHADEMA, akidai kuwa wanatengeneza taswira ya kuwa wema kwa nje ilhali wana ajenda za siri zisizo za uaminifu.
Sheikh Mwaipopo alieleza kuwa matukio na...
Mke wangu anatumia sehemu ya hela ninayoacha nyumbani kwa ajili ya chakula kupeleka kwenye michezo yao ya kuchangishana pesa. Mwisho wa siku, nakuta chakula hakitoshelezi wala hakiridhishi kwa sababu bajeti imepungua.
Bahati mbaya hata hajishtukii kwa anachokifanya, na kwa kweli wakati mwingine...
Kamati ya Mashindano ya TFF imeitoza Azam FC faini ya shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) iliyochezwa Julai 4, 2026 katika Uwanja wa Gombani, Pemba.
Katika maamuzi hayo, kocha wa makipa wa Azam FC...
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray, amekabidhi msaada wa mifuko 30 ya saruji yenye thamani ya shilingi laki sita kwa ajili ya kuunga mkono ujenzi wa ofisi ya chama hicho katika Kata ya Nangara.
Soma: Naibu Waziri Utumishi, Regina Ndege: Kwasasa ajira ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.