Mke wangu anatumia sehemu ya hela ninayoacha nyumbani kwa ajili ya chakula kupeleka kwenye michezo yao ya kuchangishana pesa. Mwisho wa siku, nakuta chakula hakitoshelezi wala hakiridhishi kwa sababu bajeti imepungua.
Bahati mbaya hata hajishtukii kwa anachokifanya, na kwa kweli wakati mwingine...
Kamati ya Mashindano ya TFF imeitoza Azam FC faini ya shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) iliyochezwa Julai 4, 2026 katika Uwanja wa Gombani, Pemba.
Katika maamuzi hayo, kocha wa makipa wa Azam FC...
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray, amekabidhi msaada wa mifuko 30 ya saruji yenye thamani ya shilingi laki sita kwa ajili ya kuunga mkono ujenzi wa ofisi ya chama hicho katika Kata ya Nangara.
Soma: Naibu Waziri Utumishi, Regina Ndege: Kwasasa ajira ni...
Mkazi wa Mtaa wa Isengo, Kata ya Iyela jijini Mbeya, Enelesta Pili, amepokea zawadi ya shilingi milioni moja kutoka kwa Dkt. Tulia Ackson baada ya mjukuu wake kuchapisha mtandaoni video ikimuonyesha akisuka mkeka wenye jina la Dkt. Tulia.
Enelesta amesema aliamua kuandika jina la Dkt. Tulia...
Mpaka sasa katika Kombe la Dunia 2026, mbio za Kiatu cha Dhahabu (Golden Boot) zinaongozwa na wachezaji hawa:
Kylian Mbappé (Ufaransa) – mabao 7.
Lionel Messi (Argentina) – mabao 7.
Erling Haaland (Norway) – mabao 7.
Harry Kane (England) – mabao 6.
Wakiwa na mabao 4kila mmoja:
Jude Bellingham...
Asubuhi ya Julai 4, 2026, mwili wa aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara John Heche, marehemu Suez Dani Maradufu umewasili katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime (Bomani) kwa ajili ya kuhifadhiwa.
Mwili huo umepokelewa kwa vilio na simanzi na ndugu, jamaa, marafiki, pamoja na...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa kuna gari la polisi lililochomwa moto na wananchi katika eneo la Mwenge, likifafanua kuwa habari hiyo ni ya uzushi.
“Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 3, 2026, ambapo anatarajiwa kuchuana na jopo la mawakili wa Serikali kwa hoja za kisheria wakati wa usikilizwaji wa shauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.