Idadi ya Wabunge wa Chama cha Labour wanaomtaka Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, kujiuzulu imeongezeka na kufikia 70, kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na BBC.
Miongoni mwa Viongozi waliotajwa kuunga mkono wito huo ni Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Shabana Mahmood, hatua...
Naibu Waziri Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema Serikali inatafuta fedha kwa kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Kasindanga - Runazi (km 37.6) mkoani Kagera ili ijengwe kwa kiwango cha lami.
Akijibu swali la Mbunge wa Muleba Kusini, Dkt. Oscar Ishengoma...
Kiungo wa Young Africans SC, Mudathir Yahaya, atakosa mchezo wa dabi unaosubiriwa kwa hamu dhidi ya wapinzani wao wa jadi, Simba SC, baada ya kupewa adhabu ya kufungiwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB).
Mudathir amefungiwa mechi tatu na kupigwa faini ya Shilingi milioni moja kufuatia tukio...
https://www.youtube.com/live/a3BDmRIzhv0?si=JH8Q9Wvv6d01j_Gq
Ijumaa, tarehe 10 Aprili 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles Kichere, aliwasilisha Bungeni taarifa ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa mwaka wa fedha 2024/25, baada ya kuikabidhi...
Kiukweli, mahusiano yetu yalikufa kifo cha asili kutokana na umbali na mabadiliko ya maisha, ingawa yeye ndiye alianza kuonyesha dalili za kupoa na sijui huko aliko kama kupata mtu mwingine
Huko alipo kusema yuko fresh ni hisia tu, maana hatujaongea miaka mingi. Na hata kama yeye yuko sawa, haiondoi ukweli kwamba mimi nafsi yangu inanisuta.
Mkuu, hoja yako ni nzuri, lakini binadamu tunatofautiana, wengine tunaathiriwa na mambo ya psychology kutokana na makosa tuliyofanya nyuma. Inawezekana nguvu ya kiapo hicho haipo kwenye damu, bali ipo kwenye subconscious mind inayonihukumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.