Recent content by PAYE

  1. PAYE

    JamiiForums Tanzania Wabunge 70 wa Chama cha Labour wamtaka Keir Starmer ajiuzulu

    Idadi ya Wabunge wa Chama cha Labour wanaomtaka Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, kujiuzulu imeongezeka na kufikia 70, kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na BBC. Miongoni mwa Viongozi waliotajwa kuunga mkono wito huo ni Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Shabana Mahmood, hatua...
  2. PAYE

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Ujenzi, Eng. Kasekenya: Barabara ya Kasindaga - Runazi (km 37.6) kujengwa kwa lami

    Naibu Waziri Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema Serikali inatafuta fedha kwa kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Kasindanga - Runazi (km 37.6) mkoani Kagera ili ijengwe kwa kiwango cha lami. Akijibu swali la Mbunge wa Muleba Kusini, Dkt. Oscar Ishengoma...
  3. PAYE

    JamiiForums Tanzania Mudathir Yahaya kukosa 'Dabi ya Kariakoo' baada ya kufungiwa mechi Tatu

    Kiungo wa Young Africans SC, Mudathir Yahaya, atakosa mchezo wa dabi unaosubiriwa kwa hamu dhidi ya wapinzani wao wa jadi, Simba SC, baada ya kupewa adhabu ya kufungiwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Mudathir amefungiwa mechi tatu na kupigwa faini ya Shilingi milioni moja kufuatia tukio...
  4. PAYE

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa ACT Wazalendo kuhusu Ripoti ya CAG ya mwaka 2024/2025

    https://www.youtube.com/live/a3BDmRIzhv0?si=JH8Q9Wvv6d01j_Gq Ijumaa, tarehe 10 Aprili 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles Kichere, aliwasilisha Bungeni taarifa ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa mwaka wa fedha 2024/25, baada ya kuikabidhi...
  5. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Nitajaribu kubadili mindset yangu nione kama hii hali itatulia, maana nimechoka kuishi kwa hofu.
  6. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Aise! Bora ulikwepa hii, kwani naona mateso yake leo
  7. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Niko sawa Mkuu
  8. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    😅😅 imenilazimu nicheke kwa sauti
  9. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Siumwi kabisa, na kila nikihisi tatizo la saikolojia basi humuona mtaalamu mapema
  10. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Kiukweli, mahusiano yetu yalikufa kifo cha asili kutokana na umbali na mabadiliko ya maisha, ingawa yeye ndiye alianza kuonyesha dalili za kupoa na sijui huko aliko kama kupata mtu mwingine
  11. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Huko alipo kusema yuko fresh ni hisia tu, maana hatujaongea miaka mingi. Na hata kama yeye yuko sawa, haiondoi ukweli kwamba mimi nafsi yangu inanisuta.
  12. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Chief, wakati huo njaa ya mahaba ilikuwa kali kuliko njaa ya chakula! Kila kitu kilikuwa YEYE
  13. PAYE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Mkuu, hoja yako ni nzuri, lakini binadamu tunatofautiana, wengine tunaathiriwa na mambo ya psychology kutokana na makosa tuliyofanya nyuma. Inawezekana nguvu ya kiapo hicho haipo kwenye damu, bali ipo kwenye subconscious mind inayonihukumu
Back
Top Bottom