Recent content by PAYE

  1. PAYE

    Naibu Waziri Ujenzi, Eng. Kasekenya: Barabara ya Kasindaga - Runazi (km 37.6) kujengwa kwa lami

    Naibu Waziri Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema Serikali inatafuta fedha kwa kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Kasindanga - Runazi (km 37.6) mkoani Kagera ili ijengwe kwa kiwango cha lami. Akijibu swali la Mbunge wa Muleba Kusini, Dkt. Oscar Ishengoma...
  2. PAYE

    Mudathir Yahaya kukosa 'Dabi ya Kariakoo' baada ya kufungiwa mechi Tatu

    Kiungo wa Young Africans SC, Mudathir Yahaya, atakosa mchezo wa dabi unaosubiriwa kwa hamu dhidi ya wapinzani wao wa jadi, Simba SC, baada ya kupewa adhabu ya kufungiwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Mudathir amefungiwa mechi tatu na kupigwa faini ya Shilingi milioni moja kufuatia tukio...
  3. PAYE

    Uchambuzi wa ACT Wazalendo kuhusu Ripoti ya CAG ya mwaka 2024/2025

    https://www.youtube.com/live/a3BDmRIzhv0?si=JH8Q9Wvv6d01j_Gq Ijumaa, tarehe 10 Aprili 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles Kichere, aliwasilisha Bungeni taarifa ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa mwaka wa fedha 2024/25, baada ya kuikabidhi...
  4. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Nitajaribu kubadili mindset yangu nione kama hii hali itatulia, maana nimechoka kuishi kwa hofu.
  5. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Aise! Bora ulikwepa hii, kwani naona mateso yake leo
  6. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Siumwi kabisa, na kila nikihisi tatizo la saikolojia basi humuona mtaalamu mapema
  7. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Kiukweli, mahusiano yetu yalikufa kifo cha asili kutokana na umbali na mabadiliko ya maisha, ingawa yeye ndiye alianza kuonyesha dalili za kupoa na sijui huko aliko kama kupata mtu mwingine
  8. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Huko alipo kusema yuko fresh ni hisia tu, maana hatujaongea miaka mingi. Na hata kama yeye yuko sawa, haiondoi ukweli kwamba mimi nafsi yangu inanisuta.
  9. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Chief, wakati huo njaa ya mahaba ilikuwa kali kuliko njaa ya chakula! Kila kitu kilikuwa YEYE
  10. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Mkuu, hoja yako ni nzuri, lakini binadamu tunatofautiana, wengine tunaathiriwa na mambo ya psychology kutokana na makosa tuliyofanya nyuma. Inawezekana nguvu ya kiapo hicho haipo kwenye damu, bali ipo kwenye subconscious mind inayonihukumu
  11. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Habari zenu Wakuu! Nina jambo ambalo linanitesa kwa muda sasa baada ya kupita kwenye mahusiano ya nyuma ambayo niliyaona kuwa ni kila kitu kwangu. Wakati ule tulikuwa vijana, damu inachemka, na tuliamini kuwa upendo wetu ulikuwa wa kipekee kuliko wa mtu mwingine yeyote hapa duniani. Katika...
  12. PAYE

    Diwani akamatwa na mirungi zaidi ya kilo 100 Arusha

    MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imefanikiwa kukamata dawa za kuelevya aina ya mirungi kilo 106.25 katika wilaya ya Longido mkoani Arusha zikiwa zinasafirishwa kwa gari aina ya Toyota Wish yenye namba ya usajili T 889 DPG. Akizungumza Aprili 14,202 jijini Dar es Salaam...
Back
Top Bottom