Salaam wakuu,
Uongozi wa Halmashauri ya Mlimba umetangaza kuanza kuwaandikisha na kuwasajili wakulima wa zao la kokoa,
Hii inafikirisha sanaaa, je Nia yao Nini hasa?
Kwanini waje na huo Mpango kwa wakulima wa kokoa tu? Kwanini wasifanye kwa wakulima wote wa mpunga, mawese, mahindi, matikiti...
Yule jamaa ananufaikq na fisiem kuwa madarakani, maana yeye na mkewe Wana vyuo vyao na viproject ,vijicent vya mabeberu wanapata, Sasa amekuwa chawa kamili ili kulinda maslai yake
We jamaa acha kulia Lia hapa, tupe hizo Sheria unazozisema,
Halafu Toka lini ukweli ukawa uchochezi? Ukweli unawauma siyo. ..,?
Upuuzi na ujinga umejaa huko ccm, wabaguzi, wauaji, mafisadi, watekaji n k,
Tumechoka na upuuzi wenu majambazi ya kijani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.