Recent content by paulsen.paulsen

  1. P

    Mpenzi wangu wa zamani amepandishwa cheo, cha moto nakiona,natumwa kama mtoto

    Wakuu, Kuna binti kazini niliamua kumuacha kwa tabia zisizofaa, tumekua na relationship nae kwa miaka mitatu. Nikapata msichana mwingine pale pale kazini ambae ametulia sana na ni wife material, mambo yetu yanaenda vizuri. Huyu Ex itangu nimemuacha ni miezi sita, sasa January mwaka huu...
  2. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Navin get the picture and understand the content By the way I didn't inbox you to show to others That's wrong
  3. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Unaweza kunisaidia mawazo kuhusu tatizo sugu la ada ya mtoto maana ndilo tatizo lililonileta hapa kuomba ushauri Hilo la uzinzi lina ngazi ya familia na wazee walishahusika nalo Kama ingekua ni uzinzi pekee nisingekuja hapa lina mahala pake Hili LA mtoto ndio limeondoa amani ya nyumba na...
  4. P

    Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

    Ni kweli kabisa faiza ni kama wanavyolawitiana masheikh au wale walimu wanaolawiti watoto madrasa wakijifanya kuwafundisha dini
  5. P

    Harusi ipo palepale ila nabadilisha bibi harusi

    Una akili za kitoto sana Yaani mgonjwa yupo theatre tayari kwa operation inasubiriwa pesa madaktari waanze na anapumlia mipira useme unaenda kuuza kuwanja Mteja apatikane after two weeks mgonjwa anasubiri tu Uwe unasoma mawazo ya wenzio kabla hujacoment
  6. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Mkuu hata ukimfaham mwanamke kwa miaka kumi anaweza ficha vitu kadhaa na usivifahamu Hivyo nakubaliana na ww ila tu unaweza chunguza hata miaka mia na usielewe Watoto wangu tunafanana ukiwaona unaweza kukimbia mbio, na kwetu gumbo zima tumepata mapacha ikiwemo Mimi na hadi Dada zetu
  7. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Well, kwa nn unasema nisimwache mke wangu hadi nithibitishe amezini wakati juu umesema in a big picture kuna zinaa? Kumwacha mke wangu kunatokana na kushindwana kwetu juu ya gharama za malezi ya huyo mto, kuzini hata asingekua na huyo mtoto anaweza kuzini tu Na pengine hata humu ndani watu...
  8. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Duu? Umeenda mbali mkuu Nikusahihishe tu kwa yafuatayo:- Argument yangu kubwa ni kuhusu ada ya mtoto na si babake kumuona Nimeanza kumlipia mtoto akiwa standard 4 ungependa nikutajie gharama? Ni kubwa mno, sasa anaingia sekondari mimi pia watoto wangu wanatakiwa ada six million wote wawili...
  9. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Sakata hili Lina muda mrefu sana ndugu, tumeshasuluhishwa mpaka basi Yet ugomvi unarudi pale pale
  10. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Nisingelazimisha baba Wa mtoto alipe ada kama najua hana uwezo:- Mkataba ni baba Wa mtoto kulipa ada, wanaume wengi tukiona mzazi mwenzio kaolewa basi unaona kazi ya matunzo sio take tena Huyu jamaa amekua akimwambia mke hivyo Mara nyingi na mke hulalamika kuhusu hilo Mara nyingi Kuhusu...
  11. P

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Waheshimiwa habari za mida, Mimi ni IT specialist kwenye shirika moja lisilo la kiserikali mshahara wangu ni wa kati si mkubwa sana wala si mdogo sana. Lakini pia mimi ni lecturer part time nafundisha jioni wafanyakazi katika chuo kimoja hapa DSM, Nimeoa na nina watoto wawili, huyu mke wangu...
Back
Top Bottom