Ni uchwara kweli mi ninamfahamu,huyu assenga ni kanjanja wa jk na ccm,hamazo kweli,yule dhaifu amefanyia nn nchi yetu hadi akina kagame,mama wa malawi,museveni,kenyatta wameshamuona ni janga la taifa,slaa ni rais ajaye aliye mioyoni ,wetu,hata mfanye vp!pumba zitabaki pumba na mchele utabaki mchele