Recent content by paulina frank

  1. P

    Ujinga wa Watanzania...

    Kaka Mimi mwenyewe tangu Jana kichwa kinaniuna hilo swali sijui nimuulize Nani na sitapata jibu la kuniridhisha
  2. P

    Rais Mteule, Magufuli aanza kutema ''cheche'' ndani ya CCM.

    Hizo ni mbio za sakafuni tu miaka miwili mingi tutakutana humu humu ndani kila mmoja akiwa ana jilaumu kivyake na tukumbuke ningejua huja mwisho Wa safari tuombeane uzima tu
  3. P

    I miss those days

    Da I miss those days
  4. P

    Ufafanuzi wa kisheria unahitajika hapa. Wanasheria Njooni

    Jamani na Mimi pia nasubiri ufafanuzi wa kisheria hapo
  5. P

    How Kikwete outsmarted Lowassa - Political case for reference!

    Kweli we we ni mauza uza umemaliza chuo mwaka wa5 huu mtaani huna kibarua huna ajira anapiga kelele hapa kazi tu na kweli ni kazi maana hujui hatma yako kweli ni kazi
  6. P

    Hata Mungu amefurahi!

    Unamjua mungu wewe acha kulitaja bure jina la mungu wako eti una mwamini hivi unaanzaje kumwamini binadamu mwenzako tena mwanaume mwenzako hujiewi wewe
  7. P

    Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

    Hata awapandishe akina Nani mwaka huu mpaka kieleweke mabadiliko ndio mpango
  8. P

    Mwalimu Nyerere aliwahi kusema haya juu ya Dr. Magufuli na Edward Lowassa

    Kweli mtoa mada hajielewi maelezo hayajajitosheleza mada yenyewe haina mantiki sasa sijui Nani lofa na mpumbavu kama sio yeye mwenyewe
  9. P

    Hivi mtu akiwa amekuacha alafu anakutumia sms ya kukujulia hali anamaanisha nini?

    Kuachana kawaida sana haina haja ya kuwekeana bifu
Back
Top Bottom