jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 3,257
- 4,360
Kikwete sio wa kumlinganisha na Lowassa.Lowassa ni namba nyingine kabisaa.
Mbona alikatwa kama ni namba nyingine! Na sisi Watanzania tunajiandaa kumstaafisha siasa huyo Lowassa wako kesho.
Kikwete sio wa kumlinganisha na Lowassa.Lowassa ni namba nyingine kabisaa.
JK bila Lowassa asingekuwa Rais..!! Hili liko wazi na kila mtu anajua..!!
Lowassa is the Most Genius politicians in Tanzania..!!!
Hovyo sana wewe, mwaka 2005/10 Lowasa alipiga kura mwenyewe? This time tuone kama huyo Lowasa atakuwa Rais mwenyeweJK bila Lowassa asingekuwa Rais..!! Hili liko wazi na kila mtu anajua..!!
Lowassa is the Most Genius politicians in Tanzania..!!!
Kikwete sio wa kumlinganisha na Lowassa.Lowassa ni namba nyingine kabisaa.
seriously?? nchi mlitaka kuwapa wale vibaka?? hivi mna akili kweli??
..mbona wameshapewa vibaka CCM?
..wameshatangazwa washindi kwenye Uraisi na ubunge.
Nin hakika kizazi cha mtandao ndani ya ccm kimeisha rasmikweli kabisa vibaka wamezidiana ujanja!
huku ukawa kuna akina lowassa, sumaye, kingunge na mbowe kama ccm b
kule kuna akina kikwete, mkapa, magufuli na mwinyi kama ccm a
aliyemweka kikwete madarakani 2005 ni lowassa, kingunge all these years ndie master minder wa uwzi wote wa kura za CCM, sumaye kakaa madarakani kama PM miaka 10!!
ujanja tu!!
Kweli we we ni mauza uza umemaliza chuo mwaka wa5 huu mtaani huna kibarua huna ajira anapiga kelele hapa kazi tu na kweli ni kazi maana hujui hatma yako kweli ni kazi
Kwani ukimaliza chuo lazima uajiriwe?