Recent content by Paulin paul

  1. P

    Ajira yenye utata

    Hyo 4million yote c ni ajira tosha kuliko kuajiriwa hpo,ngozi nyeusi shida mnaamini sana ujira kulko kujitaftia mwenyew ili hali unamtaji wako
  2. P

    Wazazi wanao wapa hifadhi watoto wao wa kike wanapotoka kwenye ndoa zao zenye migogoro wana nia njema na ndoa zao?

    Mwanamke timamu anapogombana na mume wake hatakiwi kukimbilia kwao aende kwa wakwe zke kama wapo,shemeji zake ama wajomba akashtak kupata suluhu ya ndoa yake kukimbilia kwao ili hali mime hajamchoka na kwenda kumkabidhi kwao hyo ni indiscipline case,wazazi wake wakimpokea BC wapo pmja
  3. P

    Hii ya Dkt. Chriss Mauki mnaionaje wakuu? Huyu si muharibifu wa ndoa za watu?

    Katka maisha MTU lazima ajue kunakupata na kukosa ukipata we shukuru na ukikosa lazma ushukuru pengine kesho utaamka tajiri
  4. P

    Hizi mboga zinaitwaje kwa Kiswahili na zinapatikana wapi?

    Arusha unapata bila tabu na hyo namb Mbili tunaiita salad zinaoteshwa kwenye maji yasiyokatika kama matindiga zinastaw hatar zinanukia ukipikia na nyam Utataman kumeza na bakul La mboga
Back
Top Bottom