Mwanamke timamu anapogombana na mume wake hatakiwi kukimbilia kwao aende kwa wakwe zke kama wapo,shemeji zake ama wajomba akashtak kupata suluhu ya ndoa yake kukimbilia kwao ili hali mime hajamchoka na kwenda kumkabidhi kwao hyo ni indiscipline case,wazazi wake wakimpokea BC wapo pmja
Arusha unapata bila tabu na hyo namb Mbili tunaiita salad zinaoteshwa kwenye maji yasiyokatika kama matindiga zinastaw hatar zinanukia ukipikia na nyam Utataman kumeza na bakul La mboga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.