Recent content by paul2012

  1. P

    Coronavirus, Tanzania: Shule zote kuanzia za Awali, Msingi na Sekondari zafungwa. Mikusanyiko ikiwemo ya Kisiasa yasitishwa

    Kupima watu sio abiria tuu na wafanyakazi,hugo ni sawa sio rajabu,ulitaka wasipimwe? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. P

    Naomba msaada wa mawazo kuhusu hili la kununua simu ya Samsung A71

    Hizo bei ni sawa kwao sio kama kwetu
  3. P

    Wengi hawajaielewa kauli ya Dkt. Ally Bashiru kuhusu CCM kutumia faida ya kuwa na dola kuendelea kubaki madarakani

    Hutatuambia kitu usidhani wote ni wajina kiasi cha lami nope try another level this is disdain totally Sent using Jamii Forums mobile app
  4. P

    Ushahidi: UVCCM ndio waliofanya Vurugu kwenye Mkutano wa Mbowe Jimboni hai huku Polisi wakiangalia bila kufanya chochote

    Wanahoja gani hao? Hawana hoja kimsingi, Mbowe hawezi janga barabara, Mbowe anaisimamia serikali ilete maendeleo kwa wana nchi na ndio jukumu la serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi na sio ombi no lazima. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. P

    Je, Mtoto wa kambo ana haki ya kurithi mali?

    Mama anapewa urithi gani hapa kama sio urithi wa watoto?? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. P

    Je, Mtoto wa kambo ana haki ya kurithi mali?

    Weka sheria inayosema anaweza kurithi sio blank words,huyo mtoto sio damu yako how come anakua mrithi? Kama mama yake kamdanganya kuwa Baba yake ndio kamgharamia vyote mwache aende kwa baba yake. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. P

    Yaliyojiri kikao cha familia ya bilionea Erasto Msuya na DC, vilio vyatawala

    Jamani mali za marehemu huwa ni za watoto,na hata kama mama yao yupo bao ni mali za watoto pekee,na sio vinginevyo hao wengine ni waroho,wezi,dhulumati,huwezi sababisha watoto wa marehemu akaishi maisha magumu ilihali Baba yao alikua ana uwezo sana na ni tajiri ameacha mali, hao ni wakampiga...
  8. P

    Waziri mkuu kumsimamisha kazi Engineer Morogoro, sidhani kama ni sahihi

    Anayeidhinisha mkandarasi alipwe ni consultant ambaye pia ni architect
  9. P

    TANZIA: Muongoza watalii ajirusha mlima Kilimanjaro, afariki dunia

    Bwana alitoa kweli lakini hajatwaa maana Mungu ana mipango madhubuti na .mwanadamu kabla hajamaliza nae,so shetani ndio ametwaa maana,Mumgu alimuumba Mwanadamu ili naishi amtumikie
  10. P

    Hadithi kali Faili namba 25

    Hii hadithi kali mbona imekua kimya haiendelei
  11. P

    Soma: Nguvu ya mmea wa "Isale" katika kusuluhisha jamii

    Hauna nguvu yoyote mmea huo hapo ni kuabudu uchawi tuu hakuna lingine,hayo ni maagano ya mapepo tuu
  12. P

    Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...

    Jaji kakalia kuti gani kavu, wakati haki iko wazi,hapo hakuna jinsi Jaji ni mwanadamu kama Mungu aliweka utashi ndani yaJaji itakua ni haki ya lisu kushinda,na ujue tuu kama Mungu aliamua iwe hivyo basi angelishinda tuu maana njia za Mungu sio za Mwanadamu!
  13. P

    Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...

    Angefanyaje wakati alikua nusu mfu?hivi mbona majanga chuki kwa mwanadamu wenzenu?ima maana Mungu alikosea kumuumba lisu kwamba asingekua na uhalali wa kuishi? Mungu ana mpango madhubuti na kila kiumbe kilichoumbwa nae,na sio maamuzi wa mwanadamu kwamba awepo yeye au asiwepo,uwepo wewe au...
  14. P

    Takribani wanafunzi 1,129 wame-disco UDSM na wengine zaidi ya 7,000 wanatakiwa kurudia mitihani yao

    Vijana msome na kuelewa,sio kukariri degree,msioende short cut,hazisaidii ndio maana unakuta vijana wengi hata kutengeneza CV tuu hajui,hata kuandika barua ya kuomba kazi ndi shida kabisa,sijui mnakwama wapi,acheni kushinda Instagram,na mitandao ambayo haiwasaidii,msiweke mawazo katika njia ya...
Back
Top Bottom