Je, Mtoto wa kambo ana haki ya kurithi mali?

Ukitaka asiwasiliane nae timiza majukumu. Mimi siwasiliani nae bali mtoto mwenyewe ndo ana wasiliana na baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa experience yangu, mtoto ni issue nyingine. Si rahisi hasa sie wanaume usiwasiliane na mama uwasiliane na mtoto pekee.

Na ni kosa kumtenganisha biological parent na mtoto wake. Ni ubinafsi wetu akinababa na wivu kuwa jamaa litakula tena! Ndoa ni zaidi ya mapenzi.
 
Nakuona na ndiyo maana unaweza kucontain ile hali uloielezea. Ni ngumu na inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Mimi ninaye ila mama yake hakutaka kuolewa, cheki mtiti nilionao. Kila siku anadhani nitamrudia na tangu tuache jijigi ni miaka 18 sasa.
Anaishi kwa matumaini, mrudie mwenzio..duh miaka 18, kumbe wewe mhenga mwenzangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofauti kidogo na hiyo kesi. Mimi na mdogo wangu tulizaliwa na wazazi waliokuwa wanaishi pamoja bila ndoa.

Baadae mzee akatufukuza usiku wa manane, hii nilikuwa mdogo sana lakini nakumbuka nilivokurupushwa usingizini na kupitishwa kwenye umande usiku wa manane mama akiwa amembeba mdogo wangu mgongoni.

Baadae mzee alifunga ndoa na mwanamke mwingine. Sasa ASSUME wosia haupo tukiamua kwenda kudai sehemu ya mali sheria inatuchukuliaje.

NB: Binafsi sina mpango na mali zake maana kwanza sizijui, nataka kujua scenario kama hii sheria inasemaje. Mdogo wangu ndo kwanza hata hakuwa amemzoea.
 
Najibu hapo mwisho kwenye mchango wa mwanamke. Mke wako ana haki na mali zako hata kama amezikuta.. mchango wake sio lazima uwe pesa..Kama anatekeleza majukumu ya kulea familia na kukutunza huo ni mchango tosha. Haki anayo kama hajakiuka mambo mengine ya mahusiano yenu.
Kuhusu mtoto wa kambo subiri wanasheria wabobezi waje...
Ulifanya vyema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake mnafanyaga makosa yatayo/yanayowagharimu ninyi wenyewe au watoto halafu mnalalamika kwa upumbavu mliouumba menyewe, mtoto ana babake unataka nimhudumie kama ntoto wangu wa damu?

Acheni uzuzu, kuolewa tu ukiwa na mtoto ni bahati kubwa na ni wanaume wachache sana wasiojitambua ndio huoa wanawake waliokwisha zalishwa.

Hivi wanawake watakuwa wameisha mpaka mwanaume uoe mwanamke aliekwisha panda leba?

Najibu hapo mwisho kwenye mchango wa mwanamke. Mke wako ana haki na mali zako hata kama amezikuta.. mchango wake sio lazima uwe pesa..Kama anatekeleza majukumu ya kulea familia na kukutunza huo ni mchango tosha. Haki anayo kama hajakiuka mambo mengine ya mahusiano yenu.
Kuhusu mtoto wa kambo subiri wanasheria wabobezi waje. Ila mtoto kufahamu baba yake mzazi ni Jambo la kheri..sema bidada kakiuka makubaliano yenu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilidhani mali alizokuta mke hana haki nazo, unless iwe imeandikwa. Mtoto wa kambo kisheria hana haki na mali za baba wa kufikia, unless huyo baba awe ametoa will au mama ampe mwanae mali atakazopata toka kwa mumewe.
Mtoto wa kambo endapo mama yake akifa pamoja na mdogo wake ambaye mtoto halali kibailojia kwa baba wa kambo je anawezaje kudai urithi kwa huyu baba?
 
Kwa upande wa Waislam utaratibu wa mirathi upo clear na kwa Imani yao mirathi mgao wake umeshaamuliwa na Mungu kwenda kinyume na maandiko ni dhambi kubwa. Km sijakosea mke anarithi akiwa kwenye ndoa ila mtoto wa kambo au wa nje ya ndoa hawataweza kurithi (kwa baba)
 
Wanawake mnafanyaga makosa yatayo/yanayowagharimu ninyi wenyewe au watoto halafu mnalalamika kwa upumbavu mliouumba menyewe, mtoto ana babake unataka nimhudumie kama ntoto wangu wa damu?...
Sikumlazimisha amuhudumie. Na ni yeye alisema hataki mawasiliano na baba yake. Makosa mnafanyaga wenyewe kujipendekeza unaweza kuhudumia kumbe hamuwezi. Ukiamua kuhudumia hudumia kama hutaki acha waendelee kuwasiliana na baba mtoto. Kikubwa ni jinsi mlivyokubaliana.

Ama vipi usiwe na mahusiano na mdada mwenye mtoto, kihivyo yaani.
Sidhani kama huwa mnalazimishwa.
.
Na kilichonifanya niwasiliane na baba mtoto ni kutaka awe na mawasiliano mazuri na mtoto wake na si matunzo. Nilifanya kwaajili ya mtoto si kwaajili yangu.

Mtoto ni mkubwa wanawasiliana wenyewe mimi sina mpango nae....baba mtoto mwenyewe furushi kama mafurushi mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najibu hapo mwisho kwenye mchango wa mwanamke. Mke wako ana haki na mali zako hata kama amezikuta.. mchango wake sio lazima uwe pesa..Kama anatekeleza majukumu ya kulea familia na kukutunza huo ni mchango tosha. Haki anayo kama hajakiuka mambo mengine ya mahusiano yenu...
Weka sheria inayosema anaweza kurithi sio blank words,huyo mtoto sio damu yako how come anakua mrithi?

Kama mama yake kamdanganya kuwa Baba yake ndio kamgharamia vyote mwache aende kwa baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka sheria inayosema anaweza kurithi sio blank words,huyo mtoto sio damu yako how come anakua mrithi?Kama mama yake kamdanganya kuwa Baba yake ndio kamgharamia vyote mwache aende kwa baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kusoma kweli mkuu? Wapi nimesema mtoto wa kambo ana haki ya kurithi?
Mie sitegemei wa kwangu arithi kisichomuhusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka asiwasiliane nae timiza majukumu. Mimi siwasiliani nae bali mtoto mwenyewe ndo ana wasiliana na baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mtoa mada katimiza majukumu still bidada kawasiliana na baba mtoto


Halafu mwanaume ambaye si baba Wa mtoto anahusikaje kutimiza majukumu ya mtoto asiye wake kama wake ,kuongea singo maza chenga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom