Recent content by paul kitereja

  1. paul kitereja

    Udsm yazidi kutesa mitihani ya nbaa-cpa(t)

    wewe hapo ulipo una nini?? kazi kusifia chuo tu.. elimika ndugu!
  2. paul kitereja

    Udsm yazidi kutesa mitihani ya nbaa-cpa(t)

    kwa hiyo ww umeingia mzumbe hapo kwa kimemo??
  3. paul kitereja

    Asante Mungu Kwakunipa Ajira

    na mm ndo nazungumzia hao wachache.
  4. paul kitereja

    Asante Mungu Kwakunipa Ajira

    tatizo wadau wengi humu wameshakariri kuwa kupata kazi ni lazima uwe na mtu wa kati!! hayo ni mawazo ya kutokujiamini..big up kwako.
  5. paul kitereja

    Asante Mungu Kwakunipa Ajira

    hONgera.. ila umkumbuke na MUNGU wako pia Baada ya mshahara wako wa kwanza kuingia.
  6. paul kitereja

    Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    dada caren shikamoo kwanza kabla cjasahau na hongera pia, mtoa hoja huyu ni kibaraka wa UDSM aliyekuja kuichafua MZUMBE!!
  7. paul kitereja

    Tanzania graduate bank

    idea ni nzuri kwa kweli ila naogopa mwenzenu niliambiwa kuwa MJINI NI SHULE!
  8. paul kitereja

    Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    MZUMBE haiko hivyo UDSM ndo wanafanya hivyo me nimesoma MBA pale mliman na hiyo tabia ndo wanayo pale!! sema ww ni kilaza sana..ndo nyie mnaosoma SOCIOLOGY halafu Mnataka miteremko ya MBA! JInga wewe..
  9. paul kitereja

    Vitabu vya CPA Bei sawa na Bure

    me nafikir si busara kufanya hiki mnachokifanya sasa hivi!
  10. paul kitereja

    Standard chattered na stanbic bank

    sawa HR tumekuelewa!
  11. paul kitereja

    Standard chattered na stanbic bank

    muombe mungu wa mbinguni atakusaidia!
  12. paul kitereja

    Huyu mwanamke aliniharibia maisha kabisa....

    mgonge halafu muache! na hiyo ndo dawa yao
Back
Top Bottom