asanteKaonane na mameneja uajili wao bila shaka utapata ufumbuzi wa tatizo lako
habari zenu poleni na kazi,mimi natamani sana kufanya kazi standard chatterd au stanbic bank na honestly cjawahi kuona wametangaza kazi zao nisaidieni nifanyeje msaada wenu tafadhali asanteni.
asante kwa ushauriHebu acha kutia watu
masimango hawa ni wazungu mambo yao tofauti na bank ya posta ingia
kwenye graduate program yao ni mzuri logic na hesabu watakuchukua
tu
naomba kujua kosa langu likowapi turekebishane.Yani hata jina la unayetaka akuajiri hujui jinsi ya kuliandika unategemea nini.
nnayo japo cna proffessional ya banking proffessional yangu ni planning.Kama huna upper 2nd ucjisumbue hata kuomba.
nnayo japo cna proffessional ya banking proffessional yangu ni planning.
yes kwa standard chat.. nenda
kwenye website yao then nenda graduate program, jisajili kuna mswali ya
mahesabu na logic. mim niliwah fanya nikafaulu hadi phone interview
nilifanyia na mzungu kutoka Londoni. bahati mbaya kwenye hyo phone
interview ndo sikufanya vizuri. haijalishi umesoma koz gan.
Aende NIGHT SUPPORT
habari
zenu poleni na kazi,mimi natamani sana kufanya kazi standard charterd
au stanbic bank na honestly cjawahi kuona wametangaza kazi zao
nisaidieni nifanyeje msaada wenu tafadhali asanteni.
Kama huna upper 2nd ucjisumbue hata kuomba.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us