Recent content by Paul J

  1. P

    JamiiForums Tanzania Piga kura ya maoni sasa: Katiba ya Warioba v/s Katiba ya Sitta

    Warioba (a)
  2. P

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa Anaendelea Kutafuta Ufumbuzi Wa Tatizo La Kiuchumi. Makampuni yaahidi Maelfu ya Ajira!

    Sikubaliani na wewe na ninadhani umeandika kwa sababu haujui muda (time) ni nini in terms of money? Hamna mtu yuko pale akisubiri yeyote aje ili wamtembeze kama unavodai na isitoshe usilinganishe mitambo ya veta na na mitambo iliyoonyeshwa katika kile chuo. Viongozi waliopo wameshindwa...
  3. P

    JamiiForums Tanzania CCM wasambaza waraka wao, wapinga rasimu ya Katiba Mpya

    Kweli viongozi wa CCM hawawezi kufikiri tena! Tanganyika ilikuwa nchi huru, na Zanzibar ilikuwa nchi huru. Kusema kuwa serikali tatu ni gharama kuziendesha ni uwendawazimu! Kila nchi ibaki na uhuru na mamlaka yake, tuungane katika serikali ya Muungano kwa mambo yale tu yaliyoainishwa kuwa ni ya...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Full Text: Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bajeti 2013/2014 iliyosomwa na Freeman Mbowe

    Kama kusikiliza kwetu ni kwa mashaka, hata uelewa wetu utakuwa wa mashaka kwa sababu tumejaa ukadakada tu. Mbowe alichokisema ni kwamba inakuwaje mtu aliyechaguliwa na wananchi kwa kura nyingi anakataliwa na watu sita tu ambao wamo WDCs na akaishauri serikali kuwa wajumbe wa mabaraza ya kata...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Rwekatare polisi yakwaa kisiki; mahakama yachefuliwa na mwenendo wa kesi?

    Bwana wa haki, usimpe mwovu anavyopenda; Usiruhusu hila zake zifanikiwe, wasije wakajiinua. Wenye hila wainuapo vichwa vyao; madhara ya midomo yao yawafunike. Makaa ya moto yadondoke juu yao, watupwe motoni, katika mashimo ya tope, wasiweze kusimama tena. ''MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa hapo hapo kwa kosa lingine

    Lwakatare hana kesi, hata ukipitia makosa manne ambayo wamembabikizia, hayawezi kuthibitishwa kwenye mahakama yoyote ile. Kadiri siku zinavyokwenda waache hawa watawala ghadhabu ya mwenye haki izidi kuwaadhibu na wataaibika sana katika uso wa ulimwengu huu!
  7. P

    JamiiForums Tanzania Helen Kijo-Bisimba; Dalili ya kutokea mauaji ya kimbari nchini Tanzania!

    Kusema ukweli sio uchochezi, dhibitisha uchochezi wake na kama huwezi ya nini kumtuhumu hivyo?
  8. P

    JamiiForums Tanzania Upofu wetu twatumbukia shimoni kwa jinsi dola inavyodeal na suala la Lwakatare

    Kwa wale ambao wamekuwepo Tanzania na kufuatilia namna na jinsi mwenendo wa siasa za Tanzania unavyoenda Tangia kumalizika kwa uchaguzi mkuu 2010, watawala wetu na chama tawala wamekuwa na wakati mgumu sana mpaka dakika hii. Si mara moja katika mikutano mbalimbali ya ndani na nje ya chama...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Exremism on the rise in Zanzibar-funded from Saudia and Dubai!

    Kama huwezi kusoma na kuelewa mada bora ukae kimya ili usionekane punguani! Anyway unaelewa kikureshi kuliko lugha iliyotumika hapo zaidi!
  10. P

    JamiiForums Tanzania Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

    Nimejaribu kuifungua clip hii lakini sijafanikiwa. Nimejaribu kujikumbusha mambo kadhaa hapo nyuma hasa ya mauaji na nimeconclude moja tu! Mkakati wa CCM unaendelea na haujafanikiwa. Ikumbukwe Mwangosi alipouawa ilisemekana wafuasi wa CHADEMA walimlipua kwa bomu! Baada ya picha na video kuwa...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Kikwete kawa muumini wa historia mpya Tanganyika?

    Historia anayotaka kuijenga itamhukumu Mwenyewe na wale wanaoshabikia upofu huu wakati utakapofika ndipo watakapogundua kuwa walichokuwa wamelenga kimewaingiza kaburini na huko ndiko kutakuwa kilio na kukereza meno! Just wait, time will reveal the truth for short sighted leaders and their...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Mafisadi na Ofisi ya Rais, Stop Destroying Our Country!

    Ukiona mtu anatumia nafsi yake ya chini kufikri na anapinga ukweli unaoihusu Ikulu, mpe tano tu maana hana utambuzi tena acha aenjoy hiyo pay ya kukaa kwenye keyboard na kukanusha ukweli but as time goes on wakati wa kusulubiwa yeye na kizazi chake ndo atajua ni namna gani alikuwa zuzu kwa...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete, msaidieni JK kujibu maswali haya!

    Soma nini yalikuwa malengo ya Abja 1978 utajua nini anakifanya JK na ukimya si kwamba hajui bali ni kuhakikisha malengo yanatimia ila asipokuwa makini aangalie asije ishia ile mahakma ya Kimataifa.....the eg
  14. P

    JamiiForums Tanzania Anne Makinda: Hoja binafsi marufuku kuanzia sasa!

    Kuna vituko kweli Tanzania! Hivi kweli CCM hamuoni kuwa mnajiaibisha mbele ya Watanzania? Ni kanuni ipi ya bunge spika anatumia kufuta kabisa hoja binafsi? Hata kama ni kubaka demokrasia si kwa jinsi hii. Inasikitisha kuona mtu mzima hakubali kukosolewa na hakubali kuelimisha akijua fika kuwa...
  15. P

    JamiiForums Tanzania Hakuna Fao la Kujitoa NSSF duniani kote - Ramadhan Dau

    Hamna kitu kibaya kujiona wewe ni bora kuliko binadamu wengine na mawazo mazuri zaidi ya binadamu wengine wote waliowahi kuishi katika ulimwengu huu. Kauli ya huyu Mkurugenzi inadhihirisha kuwa yeye ni bora zaidi na mawazo yake ni bora zaidi ya wengine. Issue inayohusu maslahi ya watu...
Back
Top Bottom