Mabreka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 709
- 207
Mkuu naomba siginecha yako niibandike ofisin!!!!!!Kumbe JF imejaa mambumbumbu wa sheria kiasi hiki? Lwakatare anaweza akaachiwa hata kwa mara ya pili na polisi wakamkamata tena na hili si Lwakatare kama ndio mtu wa kwanza kufanyiwa hivi.
Hata katika kesi nyingine ushahidi unatakiwa uwe umekamilika baada ya kipindi fulani na usipokamilika Mahakama inamuachia huru mtuhumiwa na Polisi inamkamata tena na zile siku za kukamilisha ushahidi zinaanza kuhesabiwa upya, hii inategemea nature ya kesi inakuwa ina interest zipi na waendesha mashtaka.