Sijaisoma yote ila nina cha kurekebisha mkuu. Ukisema kwann wengine nao wasitumie ndumba wawe kama Mond unakosea sana. Watu wana imani zao zinazowalinda, na ndumba ni kinyume na imani za dini. Walioshikilia imani zao hawajitesi na uchawi ili wawe juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap! Majina tunayopewa tukibatizwa au kuslim yana misingi ya mitume na manabii ambao ndio Watakatifu kwa kuwa tunaandaliwa kuwa Watakatifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wameshaanza kuleta hisia za dini! Hii mada ni ya kweli kabisa! Kikubwa ni kujitafakari aidha tubaki na tamaduni za kigeni au tuishikilie tamaduni yetu ya Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kutokujuana vizur kabla ya kuoana! Wanawake wengi ck hz wanaolewa kama fashen lkn wana watu wao wa pembeni ambao hawataki kuwaoa ila wanapewa mahaba tu! Dunia sasa imekwisha sana, wanawake wanajihusisha na uchafu wa kila aina na hii hutokana na marafiki wanaochagua kuwa nao
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.