Recent content by pattttty

  1. pattttty

    Eti nimnyoe

    Watu tunanyonya sembuse kunyoa tu
  2. pattttty

    Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

    Naona nyinyi mnaacha ualisia mnawaza mnavyofikiria
  3. pattttty

    Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

    Samahani kama ntawakwaza. Hivi aijawai tokea unapenda wanawake au wanaume wawili. Yaani unawapenda sana???
  4. pattttty

    Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

    Haha ha ha ha ndugu yaishe
  5. pattttty

    Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

    Haya bana. Inaelekea wewe yashakutokea haya. Pole bwana kwa kurusha jiwe gizani
  6. pattttty

    Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

    Jamani mmenishambulia weee. Lakini kiukweli naweza kusema mm ndio mwenye makosa. Lakini kitu kilicgotokea ni kwamba hapa nyuma sikua na maelewano mazuri ambayo yalipeleka kunisaliti na mm kwa wakati uo nikachukua uamuzi wa kua na huyu mchepuko. Lakini baadaye tukaa na kuelewana. Na huyu mchepuko...
  7. pattttty

    Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

    Ushauri please. Nina mwanamke ambaye kwa sasa ni mjamzito na wanamjua kwetu pia hata mimi kwao najulikana. Nina miaka nae 6 lakini nina mchepuko wangu wa ukweli nae nina muda nae miaka 4. Sasa tatizo nashindwa fanya maamuzi ya kuoa wote wanataka kuolewa na mimi. Na mimi roho yangu kumuacha...
  8. pattttty

    Nina Wazo hili, hapa ndo mahala pake

    Mm nafikiri jambo la muhimu. Ingewekwa namba ya admn hapa alafu namba zetu tutakutumia kwa njia ya whatsup
  9. pattttty

    Kuishi na mwanamke mjamzito kwenye ndoa ni kazi

    Nilikuwa sijawahi kuona shida za kuishi na mwanamke mjamzito. Duh hii noma. Kila mimba inavyozidi kukua ndio hali inabadilika. Alianza kukataa baadhi ya vyakula ila kwa sasa hanipendi kabisa, eti anajifungia chumbani hataki kuniona kabisa. Inanibidi nilale sebuleni. Yaani kiujumla toka jana...
  10. pattttty

    Akili za wanawake wengi akiwa na wewe atafaidika vipi na ukimuoa atarithi nini

    Kuna baadhi ya wanawake wapuuzi sana. Unakuta anajua kabisa mfukoni unamiliki buku yaani elfu moja ya ki Tanzania alafu anakwambia mashuka yamechakaa nipe laki moja nikanunue kesho nikienda M city.
  11. pattttty

    Kupiga simu kwa mpenzi wako wa zamani

    Lakini kwangu mm nafikiri ni utoto. Kwa nn asiniamini mm kile nachomwambia
  12. pattttty

    Kupiga simu kwa mpenzi wako wa zamani

    Naombeni kuuliza, hivi kuna maana yeyote ya kumpigia simu demu wako wa zamani ukiwa na mpenzi wako wa sasa eti kuthibitisha kua mmeachana na huyo demu wako wa zamani kwa demu wako mpya. Wewe kama wewe unaweza fanya hivyo?
  13. pattttty

    Yuko wapi Dr. Stephen Ulimboka?

    Yupo busy na kazi
Back
Top Bottom