Recent content by patson

  1. P

    Mchanganyiko wa Pepsi na karanga

    Kuna Konyagi na Ukwaju.[emoji41][emoji41][emoji41]
  2. P

    Dark days 17/03/20

    Hii kitu ni zaidi ya hekaya. Mtunzi hatari sana. Ana psychological capture ya wasomaji plus chronological pray of scenes related to the current events of the company.
  3. P

    Dark days 17/03/20

    Inaedelea?
  4. P

    Dark days 17/03/20

    Labda ni yule saa9
  5. P

    Blogger Robert Alai(Kenya) amtaja RC Makonda kuhusika na Shambulio dhidi ya Tundu Lissu

    OK. Tunaomba ushahidi Wa kila kitu. Otherwise, me sielewi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. P

    Magufuli na Tanzania mpya

    Upinzani Ni afya kwa maendeleo. Kukubari kukisolewa Ni hekima. Tueleweshane tutafika
  7. P

    Magufuli na Tanzania mpya

    Hizi Ni zama mpya. Tukubari kwenda mbele na hali halisi.
  8. P

    Magufuli na Tanzania mpya

    Tumeshuhudia raisi John Pombe Magufuri akichukua hatua mbali mbali katika kuijenga upya Tanzania. Uteuzi wake wa viongozi ktk nafasi mbalimbali unaonesha waziwazi anataka mabadiriko na maendeleo yapatikane hasa kwa mwananchi wa kawaida. Naona ni wakati muhafaka sisi watanzania ndani na nje ya...
  9. P

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Raisi wetu anafanya Kazi nzuri. Kamteua Waziri Mkuu mchapakazi na Kazi ya Ujenzi Wa taifa tunaiona. Tunamuunga Mkono Na tunamuombea. Naamini atatufikisha watanzania tunapotaka. Mungu ibariki Tanzania.
  10. P

    Kwa internet hii ya Tigo, nalazimika kubadili line, wadau naombeni muongozo

    Smart itakufaa kama upo Dsm, Arusha au Mwanza. Packages zao ziko poa sana. www.smart.ac.tz
  11. P

    Zembwela afunika kwenye Mkasi

    alipresent hoja endelevu na champion wa matumaini mapya kwa vijana. Usanii unahitaji ubunifu na kufanyia utafiti mambo mengi ya kijamii, uchumi na siasa. ZEMBWELA kajipanga. Salute bro
Back
Top Bottom