Recent content by Patric samweli

  1. Patric samweli

    Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

    Mtoa uzi ushamchunguza mwanamke kutoka kigoma wewe? Fanya utafiti nao waha ni dhahabu ndani ya nyumba.
  2. Patric samweli

    Tabia ya mabinti kuwafanya Boyfriends zenu baba or walezi wenu

    Acha wawakomeshe c mnajifanya mabingwa wa kuhonga? kumbe uwa zinawauma du!.
  3. Patric samweli

    Breakups hurt women more, but men never fully recover

    Las simba anazo tele kwa ajili yako wahi fasta
  4. Patric samweli

    Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

    Kama keshakutafuna utaumia ila utasahau, huyo ni chovya chovya hana mapenzi na wewe huyo jiangalie utakuja kuwa mtumwa wa mapenzi.
  5. Patric samweli

    Ushauri: Mumewe ana maumbile makubwa, mkewe anaumia wakati wa tendo la ndoa

    Wanawake wote vina sio sawa mimi pia tatizo hlo lilinipata ila nilokua nae ashazoea kikubwa ni kumuandaa vizuri hakikisha mnafika kileleni wote kwa wakati mmoja kwa raund ya kwanza lazima afurah.
  6. Patric samweli

    Ushauri: Mumewe ana maumbile makubwa, mkewe anaumia wakati wa tendo la ndoa

    Kwani nyie mpo dini gani? Kama ni waislamu mpe ushauri wa kuoa mke mwingine na kabla ya kufunga ndoa amueweke wazi huyo mke mpya kama atamudu hyo kitu ndo afunge nae ndoa bila hvyo atapata shida na mwisho wa siku maladhi, pia huyo mke alokua nae lazima anatafunwa na wengine huko kama vp ampige...
  7. Patric samweli

    Muda si mrefu Lowassa atajikuta mpweke na kujutia uamuzi wake wakati Magufuli akipeta

    Mtajifariji sana mwaka huu ni zamu yenu kuitwa wapinzani sasa.
  8. Patric samweli

    Jamani nini chanzo cha michepuko?

    Michepuko ndo habari ya sasa inabidi uwe mpole tu.
  9. Patric samweli

    Mawasiliano ya mpenzi wangu na mpenzi wake wa zamani

    Pole sana ndg hapo mke huna, sikushauri kumuacha, ila hata mimi yalinikuta hayo nikapiga chini na sasa naishi vzr
  10. Patric samweli

    Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

    Maisha ya heshima ni kuwa na familia yako, uwe na mke hata unapoishi utaheshimika.
  11. Patric samweli

    Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

    Tatizo la watu wenye pesa wengi huwa malimbukeni so wanapenda totoz nyingi hvyo kuoa kwao ni kikwazo.
  12. Patric samweli

    Na huyu naye kasema nisubiri, je mambo hayatakuwa kama yale?

    Kwani wewe mwenyewe kabila gani?inawezekana nawe mmarangu so mtawezana kitabia.
  13. Patric samweli

    Nikubali au nikatae?

    Hasa kama sio saiz yako urafiki wenu mmeanza vip hadi akupe mambo mumewe? We kicheche utakuwa.
  14. Patric samweli

    Nikubali au nikatae?

    Usimuonyeshe kama hutaki, mwambie alete hyo sim kisha ichezee baada ya hapo mwambie imegoma kuingiza programu nadhani atakuelewa.
Back
Top Bottom