acha kulialia kama huna pesa kaa pembeni. waache wenye pesa wanaojua kuhonga wafaidi vitu. mwanamke anataka pesa bwana sio suruali yako tu
Hayo ndugu zangu ni matatizo ya malezi wanayopewa hawa mabinti kwao. Nakumbuka nikiwa mdogo mama yetu alitulea kuwa ni MARUFUKU kuomba ela kwa mtu yeyote zaidi ya wazazi. Lakini nilikuwa nashangaa kuna mtoto wa jirani yetu kabinti kazuri na kwao mambo safi, yani yeye alikuwa ni kama wimbo "SHIKAMOO NAOMBA ELA" hata kwa wapita njia wazazi wake badala ya kumpa kichapo wanakenua tu. Sijuhi sasa hivi yuko wapi but am sure atakuwa sampuli hizo za kufanya wanaume ATM.
Tuwalee watoto wetu kuwa independent otherwise watatumiwa na wanaohonga magari MEKUNDU.
inategemea aina ya wasichana mnaowatongoza.wengine mnawatongoza kwa ajili ya game tu,na wao wanaona bora wajinufaishe mapema.au wengine mkitongoza mnajisifia tuuuu,wakati uwezo huna ni kama gia tu ya kuingilia.msiwalaumu,makosa ni yenu wenyewe.
Acha wawakomeshe c mnajifanya mabingwa wa kuhonga? kumbe uwa zinawauma du!.
Mi nashangaa mwanaume anakwepa kuhonga
duh na sie tusiokuwa na kazi pia hatutunzwi?
Kuna mmoja ananiambia luku ya nyumbani kwao imeisha nkamwambia nenda kwenye kituo cha kuuzia mbona zipo! Amenuna simu hapokei,hajui nami ndo nnsepa zangu!
hizo dalili ya kufanyana atm zipo kwangu pia. dawa yake ni ni?
Nyie wanaume mnapenda vitu vizuri. demu apendeze, anukie, nywele nzuri, ukituma msg akujibu na mambo mengine kibao. Sasa vyote hivyo vinagharimu pesa. Mwanaume unatakiwa kuwajibika..ht km sio mkeo ni wajibu wako. Yaani ipo hivyo tu mkatae au mkubali.
Sawa kuna wadada ambao wamezidi kupiga mizinga. Lkn wewe Kama mwanaume unatakiwa kuwajibika bila hata kuambiwa. NDO HIVYO YAANI.